Lucas 8
Ang Pulong Sang Dios
Ang mga Babayi nga Nagabulig kay Jesus
8 Pagkatapos sadto, naglibot si Jesus sa mga banwa kag mga baryo nga nagawali sang Maayong Balita parte sa paghari sang Dios. Upod sa iya ang dose ka apostoles, 2 kag ang iban nga mga babayi nga iya gin-ayo sa malaot nga mga espiritu kag mga balatian. Ang isa sa ila amo si Maria nga taga-Magdala nga pito gid ka malaot nga mga espiritu ang ginpaguwa sa iya. 3 Upod man nila amo si Juana nga asawa ni Cuza nga amo ang ginasaligan ni Herodes sa iya palasyo. Si Susana isa man sa ila kag may madamo pa gid nga mga babayi. Amo ini sila ang nagahatag sang mga kinahanglanon nila ni Jesus halin sa ila pagkabutang.
Ang Paanggid Parte sa Manugsab-og(A)
4 May adlaw nga madamo gid nga mga tawo halin sa mga banwa ang padayon nga nag-inabot kag nagtilipon kay Jesus. Ginsugiran sila ni Jesus sini nga paanggid:
5 “May isa ka mangunguma nga nagsab-og sang binhi. Sa iya pagsab-og, ang iban nagtupa sa higad sang dalan, kag natapakan ini sang mga nagaalagi kag gintuka sang mga pispis. 6 Ang iban nagtupa sa kabatuhan. Nagtubo ini pero nalaya dayon kay mala ang duta. 7 Ang iban nagtupa sa duta nga may mga tunukon nga hilamon, kag dungan nga nagtubo ining hilamon kag ang binhi. Gani sang ulihi nalumos sang hilamon ang nagtubo nga binhi. 8 Ang iban nagtupa sa maayo nga duta, nagtubo kag nagpatubas sing madamo gid.”[a] Nagsiling pa si Jesus sa ila, “Kamo nga nagapamati, dapat intiendihon gid ninyo ining inyo nabatian.”
Ang Katuyuan sang mga Paanggid(B)
9 Ginpamangkot siya sang iya mga sumulunod kon ano ang kahulugan sang sadto nga paanggid. 10 Nagsabat siya, “Ang mga tinago nga kamatuoran parte sa paghari sang Dios ginasugid sa inyo nga maintiendihan ninyo, pero sa iban ginasugid ini paagi sa mga paanggid agod nga ‘bisan sige lang sila tulok indi sila makakita, kag bisan sige lang sila pamati indi sila makaintiendi.’ ”[b]
Ginsaysay ni Jesus ang Paanggid Parte sa Manugsab-og(C)
11 Dayon ginsaysay ni Jesus ang kahulugan sang paanggid. Nagsiling siya, “Ang binhi amo ang pulong sang Dios. 12 Ang higad sang dalan nga gintup-an sang binhi amo ang mga tawo nga nakabati sang pulong sang Dios, pero nag-abot si Satanas kag ginkuha niya ang pulong sa ila mga tagipusuon, agod indi sila magtuo kag maluwas. 13 Ang kabatuhan nga gintup-an sang binhi amo ang mga tawo nga nakabati man sang pulong sang Dios kag ginbaton nila nga may kalipay, pero indi hugot sa ila mga tagipusuon. Gani wala magdugay ang ila pagtuo, kay sang pag-abot sang mga pagtilaw nagtalikod sila dayon. 14 Ang duta nga may mga tunukon nga hilamon nga gintup-an sang binhi amo ang mga tawo nga nakabati sang pulong sang Dios, pero nadaog sila sang ila mga palaligban, mga manggad, kag mga kalipayan sa sini nga kalibutan, gani wala sila nagpamunga. 15 Pero ang maayo nga duta nga gintup-an sang binhi amo ang mga tawo nga nagpamati sang pulong sang Dios, kag ginatipigan nila ini sa ila maayo kag sinsero nga mga tagipusuon kag nagatinguha sila sa pagtuman sini hasta nga nagpamunga ini sa ila kabuhi.”
Ang Paanggid Parte sa Suga(D)
16 Nagsiling pa gid si Jesus, “Wala sing may nagasindi sang suga kag takluban lang dayon sang suludlan ukon ibutang lang sa idalom sang katre, kundi ginabutang ini sa tulungtungan agod masanagan ang mga nagasulod sa balay. 17 Amo man ina nga wala sing tinago nga indi magguwa sa ulihi, kag wala sing sekreto nga indi mahibaluan kag mabuyagyag.[c]
18 “Gani pamatii ninyo ako sing maayo, kay ang tawo nga nagatuman sang iya nabatian nga kamatuoran pagahatagan pa gid sang pag-intiendi. Pero ang tawo nga wala nagatuman sa kamatuoran, bisan ang ginahunahuna niya nga iya naintiendihan, kuhaon pa sa iya.”
Ang Iloy kag ang mga Utod ni Jesus(E)
19 Karon, nag-abot ang iloy kag ang mga utod ni Jesus. Tungod sa kadamuon sang mga tawo indi sila makapalapit sa iya. 20 Gani may nagsugid kay Jesus, “Ang imo iloy kag mga utod nagahulat sa guwa. Gusto nila nga magpakigkita sa imo.” 21 Pero nagsiling si Jesus sa ila, “Ang mga nagapamati kag nagatuman sang pulong sang Dios amo ang akon iloy kag mga utod.”
Ginpauntat ni Jesus ang Hangin kag Balod(F)
22 Isa sadto ka adlaw nagsakay si Jesus kag ang iya mga sumulunod sa sakayan. Nagsiling siya sa ila, “Dali, matabok kita sa pihak sang dagat.”[d] Kag nagpanakayon sila. 23 Samtang nagapanakayon sila natulugan si Jesus. Hinali lang nga nagbaskog ang hangin kag sige sulod ang tubig sa ila sakayan. Tama na gid ka delikado ang ila kahimtangan. 24 Gani ginpalapitan nila si Jesus kag ginpukaw, “Manunudlo![e] Manunudlo! Malunod na kita!” Nagbangon si Jesus kag ginmanduan niya ang hangin kag ang mga balod nga mag-untat. Kag sa gilayon naglinaw. 25 Dayon nagsiling si Jesus sa iya mga sumulunod, “Diin bala ang inyo pagtuo?” Natingala gid ang iya mga sumulunod nga may kakulba. Siling nila sa isa kag isa, “Sin-o gid ayhan ini nga bisan ang hangin kag ang mga balod ginamanduan niya kag nagatuman sa iya?”
Gin-ayo ni Jesus ang Tawo nga May Malaot nga mga Espiritu(G)
26 Nagpadayon sila sa pagpanakayon hasta nakaabot sila sa lugar sang mga Gerasenhon[f] nga nagaatubang sa Galilea. 27 Pagtakas ni Jesus, ginsugata siya sang isa ka tawo nga may malaot nga mga espiritu. Ini nga tawo permi lang nagauba kag wala nagapauli sa iya balay sa banwa. Didto siya nagaestar sa mga kuweba nga lulubngan. 28 Sang makita niya si Jesus nagsinggit siya kag nagluhod sa atubangan niya. Dayon naghambal siya sa mabaskog nga tingog, “Jesus, Anak sang Labing Mataas nga Dios, ano ang imo labot sa akon? Nagapakitluoy ako sa imo nga indi mo ako pagsilutan.” 29 Amo ini ang ginsiling niya tungod kay ginsugo na ni Jesus ang malaot nga espiritu nga magguwa sa iya. Madugay na nga ginagamhan siya sang malaot nga espiritu. Kag bisan ginagapos sang mga tawo ang iya mga kamot kag tiil sang mga kadena, kag ginabantayan gid siya, ginapamugto lang niya ini, kag ginadala siya sang malaot nga espiritu sa kamingawan. 30 Ginpamangkot siya ni Jesus, “Sin-o ang imo ngalan?” Nagsabat siya, “Ako si Panong.” Amo ina ang sabat niya tungod kay madamo ang malaot nga mga espiritu nga nagsulod sa iya. 31 Kag nagpakitluoy ang malaot nga mga espiritu nga indi lang sila pagtabugon sa kadadalman nga sa diin sila silutan.
32 Malapit didto, may madamo nga mga baboy nga nagakaon sa banglid. Nagpakitluoy kay Jesus ang malaot nga mga espiritu nga tugutan na lang sila nga magsulod sa mga baboy. Kag gintugutan sila ni Jesus. 33 Gani nagguwa ang malaot nga mga espiritu sa tawo kag nagsulod sa mga baboy. Dayon nagdinaguso ang mga baboy padulhog sa banglid deretso sa tubig kag nagkalalumos.
34 Sang makita sang mga manugsagod sang mga baboy ang natabo, nagdinalagan sila, kag ginpanugid nila ini sa mga tawo sa banwa kag sa kaumahan. 35 Gani nagkadto ang mga tawo kay Jesus kay gusto nila nga makita ang natabo. Pag-abot nila didto nakita nila ang tawo nga sadto anay may malaot nga mga espiritu nga nagapungko sa tiilan ni Jesus nga may bayo kag husto na ang iya paminsaron. Gani hinadlukan sila. 36 Ang mga nakakita sa natabo nagsugid sa mga tawo kon paano nag-ayo ang tawo nga gin-gamhan anay sang malaot nga mga espiritu. 37 Dayon ang tanan nga Gerasenhon[g] kag ang mga tawo nga nagaestar sa palibot nila nagpangabay kay Jesus nga maghalin siya didto sa ila, kay dako gid ang ila kahadlok. Gani nagsakay si Jesus sa sakayan kag nagbalik sa iya ginhalinan. 38 Ang tawo nga gin-gamhan anay sang malaot nga mga espiritu nagpakitluoy kay Jesus nga mag-upod sa iya. Pero nagsiling si Jesus sa iya, 39 “Magpauli ka sa inyo kag isugid mo ang mga ginhimo sang Dios sa imo.” Gani nagpauli ang tawo, kag naglibot siya sa bug-os nga banwa nga nagapanugid sang tanan nga ginhimo ni Jesus sa iya.
Ang Babayi nga Bata ni Jairus kag ang Babayi nga Ginapangguwaan sang Dugo(H)
40 Sang pagdungka ni Jesus sa tabok sang dagat, nalipay gid ang mga tawo sa pag-abiabi sa iya tungod kay tanan sila nagapaabot sa iya. 41 Dugay-dugay may nag-abot nga tawo nga ang iya ngalan si Jairus. Isa siya ka manugdumala sang simbahan sang mga Judio. Sang pagpalapit niya kay Jesus nagluhod siya kag nagpakitluoy nga magkadto siya didto sa iya balay, 42 tungod kay daw mapatay na ang iya bugtong nga bata. Ining babayi nga bata nagaedad sang dose ka tuig. Sang nagapakadto sila ni Jesus sa balay ni Jairus, nagadinugok ang madamo nga mga tawo sa iya. 43 Karon, may babayi didto nga ginapangguwaan sang dugo sa sulod sang dose na ka tuig. [Naubos na niya gasto ang tanan niya nga pagkabutang sa pagpabulong.] Pero wala gid sang may nakaayo sa iya. 44 Nagpanagil-ot siya sa mga tawo hasta nakapalapit siya sa likod ni Jesus. Dayon gintandog niya ang gaway-gaway[h] sang bayo ni Jesus, kag sa gilayon nag-untat ang pagpangguwa sang dugo sa iya. 45 Dayon nagsiling si Jesus, “Sin-o ang nagtandog sa akon?” Tanan sila naghambal nga wala sila makatandog sa iya. Gani nagsiling si Pedro, “Manunudlo, nahibaluan mo man nga kadamo sang mga tawo nga nagadinas-ukanay sa imo palibot.” 46 Pero nagsabat si Jesus, “May nagtandog gid sa akon, tungod nga nabatyagan ko nga may gahom nga nagguwa sa akon.” 47 Sang matalupangdan sang babayi nga nahibaluan ni Jesus ang ginhimo niya, nagpalapit siya nga nagakurog kag nagluhod kay Jesus. Sa atubangan sang tanan ginsugid niya kay Jesus kon ngaa gintandog niya siya kag kon paano siya nag-ayo dayon. 48 Nagsiling si Jesus sa iya, “Anak, ang imo pagtuo nag-ayo[i] sa imo. Magpauli ka nga may kalinong.”
49 Samtang nagahambal pa siya sa babayi may nag-abot halin sa balay ni Jairus. Siling niya kay Jairus, “Patay na ang imo bata. Indi na pagdisturbuha ang manunudlo.” 50 Pero pagkabati sadto ni Jesus nagsiling siya kay Jairus, “Indi ka magkahadlok, magtuo ka lang kag magaayo siya.” 51 Pag-abot nila sa balay ni Jairus wala niya pagtuguti ang iban nga mag-upod sa iya sa sulod luwas lang sa ila ni Pedro, Juan, kag Santiago, kag ang amay kag iloy sang bata. 52 Sige ang hinibi sang mga tawo didto. Gani nagsiling si Jesus sa ila, “Indi kamo maghibi, kay indi patay ang bata kundi nagakatulog lang.” 53 Ginkadlawan nila si Jesus tungod kay nahibaluan nila nga patay na gid ang bata. 54 Nagpalapit si Jesus sa bata kag gin-uyatan niya ang kamot kag nagsiling, “’Day, magbangon ka!” 55 Kag dayon nagbalik ang iya espiritu kag nagbangon siya gilayon. Nagsugo si Jesus nga pakan-on ang bata. 56 Natingala gid ang iya mga ginikanan, pero ginmanduan sila ni Jesus nga indi gid magpanugid sa bisan kay sin-o parte sa natabo.
Footnotes
- 8:8 madamo gid: sa literal, 100 ka pilo.
- 8:10 Isa. 6:9.
- 8:17 Ang tinago ukon sekreto nga ginamitlang diri posible amo ang parte sa paghari sang Dios ukon sa Maayong Balita nga kinahanglan nga ipahayag.
- 8:22 dagat: Tan-awa ang footnote sa 5:1.
- 8:24 Manunudlo: sa literal, Agalon. Amo man sa bersikulo 45.
- 8:26 Gerasenhon: sa iban nga mga kopya sang Griego, Gadarenhon; sa iban pa gid nga mga kopya, Gergesenhon.
- 8:37 Gerasenhon: Tan-awa ang footnote sa bersikulo 26.
- 8:44 gaway-gaway: sa English, tassel. Tan-awa sa Num. 15:37-39, Deu. 22:12, kag sa Mat. 23:5.
- 8:48 nag-ayo: ukon/kag nagluwas.
Luka 8
Neno: Bibilia Takatifu
8 Baada ya haya Yesu alikwenda katika miji na vijiji akifu atana na wanafunzi wake. Kila alipokwenda alihubiri Habari Njema za Ufalme wa Mungu.
2 Baadhi ya wanawake aliokuwa amewatoa pepo wachafu na kuwa ponya walifuatana naye. Miongoni mwao alikuwepo Mariamu ambaye aliitwa Magdalena, aliyetolewa pepo saba; Yohana mke wa Chuza -msimamizi wa ikulu ya Herode; Susana, na wengine wengi. Wana wake hawa walimhudumia Yesu na wanafunzi wake kutokana na mapato yao wenyewe.
4 Watu wengi walimiminika kutoka katika kila mji na umati mkubwa ulipokusanyika, Yesu akawaambia mfano huu: 5 “Mkulima mmoja alikwenda shambani kwake kupanda mbegu. Alipokuwa akitawa nya mbegu, nyingine zilianguka njiani zikakanyagwa kanyagwa; na ndege wakazila. 6 Na mbegu nyingine zilianguka penye miamba na zilipomea zikakauka kwa kukosa unyevu. 7 Na mbegu nyingine zil ianguka kwenye miiba, ikazisonga zikafa. 8 Mbegu nyingine zilian guka penye udongo mzuri, nazo zikamea na kutoa mazao mara mia zaidi ya mbegu alizopanda.” Baada ya kutoa mfano huu akasema: “Mwenye nia ya kusikia na asikie!”
9 Wanafunzi wake wakamwuliza maana ya mfano huu. 10 Naye akawajibu, “Ninyi mmejaliwa kufahamu siri za Ufalme wa Mungu, lakini kwa wengine nazungumza kwa mifano ili, ‘Kuangalia waan galie lakini wasione, kusikia wasikie, lakini wasielewe.’ 11 Maana ya mfano huu ni hii: Mbegu ni neno la Mungu. 12 Ile njia zilipoanguka baadhi ya mbegu, ni mfano wa watu wanaolisikia neno la Mungu lakini shetani huja akalichukua kutoka katika mioyo yao, ili wasiamini na kuokolewa. 13 Ile miamba ambamo mbegu nyingine zilianguka ni sawa na watu ambao hufurahia kusikia mahu biri lakini neno la Mungu halipenyi ndani ya mioyo yao. Hawa huamini kwa muda mfupi lakini wanapojaribiwa hupoteza imani yao. 14 Na ile miiba ambamo mbegu nyingine zilianguka ni sawa na wale wanaosikia neno la Mungu lakini baadaye imani yao inasongwa na mahangaiko ya maisha, utajiri, shughuli na anasa; wasiweze kukua. 15 Bali ule udongo mzuri ambamo mbegu nyingine zilianguka ni sawa na wale ambao hulisikia neno la Mungu na kulishika kwa moyo mwema na wa utii, wakavumilia na kuzaa matunda.”
Mfano Wa Taa
16 “Ni nani anayewasha taa kisha akaifunika, au akaiweka uvunguni, badala ya kuiweka mahali ambapo mwanga wake utaonekana? 17 Hakuna siri ambayo haitafichuliwa, wala hakuna jambo lililo fichika ambalo halitajulikana na kuwekwa wazi. 18 Kwa hiyo muwe waangalifu mnaposikiliza, kwa sababu, yeye aliye na kitu ataonge zewa, naye ambaye hana, atanyang’anywa hata kile anachodhania anacho.”
Ndugu Wa Kweli
19 Wakati mmoja mama yake Yesu na ndugu zake walikuja kum wona lakini hawakuweza kumfikia kwa sababu ya msongamano wa watu. 20 Mtu mmoja akamwambia, “Mama yako na ndugu zako wako nje wanataka kukuona.” 21 Yesu akamjibu, “Mama yangu na ndugu zangu ni wale wote wanaolisikia neno la Mungu na kulitii.”
Bwana Yesu Atuliza Dhoruba
22 Siku moja Yesu alipanda mashua na wanafunzi wake akawaam bia, “Twendeni ng’ambo ya pili ya ziwa.” Kwa hiyo wakaanza kuvuka. 3 Walipokuwa wakivuka, akalala usingizi. Upepo mkali ukawa unavuma na mashua yao ikaanza kujaa maji; wakawa katika hatari ya kuzama.
24 Wale wanafunzi wakamkimbilia Yesu wakamwamsha wakisema, “Bwana, Bwana, tunazama!” Ndipo akaamka akaukemea ule upepo na yale mawimbi vikakoma, pakawa shwari. 25 Kisha akawauliza, “Imani yenu iko wapi?” Wakashangaa na kuogopa. Wakaulizana, “Ni mtu wa namna gani huyu ambaye anaamuru upepo na mawimbi navyo vikamtii?”
Yesu Amponya Mtu Mwenye Pepo
26 Basi wakawasili ng’ambo ya pili katika jimbo la Wagerasi. 27 Na aliposhuka katika mashua alikutana na mtu mmoja wa mji ule aliyepagawa na pepo. Kwa muda mrefu mtu huyu alikuwa havai nguo wala kuishi nyumbani, bali aliishi makaburini. 28 Alipomwona Yesu alipiga kelele, akajitupa chini mbele yake, na kusema kwa sauti kuu, “Unataka nini kwangu, Yesu Mwana wa Mungu Aliye Juu?
Nakuomba, tafadhali usinitese!”
29 Wakati huo Yesu alikuwa ameanza kumwamuru yule pepo mchafu amtoke. Mara nyingi pepo huyo alimwingia na hata alipo fungwa na minyororo na kuwekwa chini ya ulinzi aliivunjilia mbali minyororo hiyo na kukimbilia jangwani akiwa ametawaliwa kabisa na pepo huyo. 30 Yesu akamwuliza, “Jina lako ni nani?” Akamjibu, “Jeshi’ 31 Wale pepo wachafu wakamsihi sana asiwaamuru kwenda shimoni kwenye kifungo cha mashetani.
32 Palikuwa na kundi kubwa la nguruwe hapo karibu wakilisha kando kando ya mlima. Wale pepo wakamsihi Yesu awaruhusu wawaingie hao nguruwe. Akawaruhusu.
33 Kwa hiyo wakamtoka yule mtu wakawaingia wale nguruwe. Kundi lote la nguruwe likatimka mbio katika ule mteremko mkali wakatumbukia ziwani na kuzama. 34 Watu waliokuwa wakichunga lile kundi la nguruwe waliona yaliyotokea, wakakimbia wakaeneza habari hizi mjini na mashambani.
35 Watu wakatoka kwenda kujionea wenyewe yaliyotokea. Wali pofika hapo alipokuwa Yesu wakamwona yule mtu aliyetokwa na pepo amekaa karibu na Yesu, akiwa amevaa nguo na mwenye akili timamu! Wakaogopa sana. 36 Wale walioona mambo yalivyotokea wakawasimu lia wenzao jinsi yule mtu alivyoponywa. 37 Watu wote wa jimbo hilo la Wagerasi wakamwomba Yesu aondoke kwao, kwa sababu wali kuwa wamejawa na woga. Basi akaingia katika mtumbwi akaondoka.
38 Yule mtu aliyetolewa pepo akamsihi Yesu afuatane naye. Lakini Yesu akakataa, akamwambia: 39 “Rudi nyumbani ukawaeleze mambo makuu aliyokufanyia Mungu.” Kwa hiyo yule mtu akaenda, akatangaza mji mzima mambo makuu Yesu aliyomfanyia.
Yesu Amfufua Binti Wa Yairo
40 Yesu aliporudi ng’ambo ya pili umati mkubwa wa watu ukam pokea kwa furaha, kwani walikuwa wakimngojea.
41 Wakati huo akaja mtu mmoja jina lake Yairo, kiongozi wa sinagogi. Akapiga magoti mbele ya Yesu akamwomba afike nyumbani kwake, 42 kwa kuwa binti yake mwenye umri wa miaka kumi na mbili, aliyekuwa mtoto wake wa pekee, alikuwa mgonjwa mahututi, karibu ya kufa. Yesu alipokuwa akienda, umati ulimsonga sana.
43 Katika umati huo alikuwepo mama mmoja ambaye alikuwa na ugonjwa wa kutokwa damu kwa muda wa miaka kumi na miwili, wala hakuna mganga aliyeweza kumponya. 44 Akaja nyuma ya Yesu, akam gusa pindo la vazi lake. Mara damu iliyokuwa ikimtoka ikakauka, akapona. 45 Yesu akauliza: “Nani amenigusa?” Kila mtu alipo kana Petro akasema, “Bwana, watu ni wengi mno wanaokusonga kila upande.” 46 Yesu akasema: “Kuna mtu aliyenigusa maana naona ya kuwa nguvu za kuponya zimenitoka.” 47 Yule mama alipofahamu ya kuwa amegundulika akaja huku akitetemeka akapiga magoti mbele ya Yesu. Akamweleza Yesu mbele ya watu wote kilichomfanya amguse, na jinsi alivyoponywa mara. 48 Basi Yesu akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani.” 49 Wakati Yesu alipo kuwa bado anasema, akaja mtumishi kutoka nyumbani kwa Yairo kum wambia, “Binti yako amefariki. Hakuna sababu ya kuendelea kum sumbua Mwalimu.” 50 Lakini Yesu aliposikia haya alimwambia Yairo, “Usiogope. Uwe na imani na binti yako atapona.” 51 Wal ipofika kwa Yairo akawazuia watu wote wasiingie ndani isipokuwa Petro, Yakobo na Yohana, na baba na mama wa yule binti. 52 Watu waliokuwepo walikuwa wakilia na kuomboleza lakini Yesu akawaam bia, “Acheni kulia! Huyu binti hajafa ila amelala!” 53 Wao wakamcheka kwa dharau maana walijua amekwisha kufa. 54 Yesu akamshika yule binti mkono akamwita: “Binti, amka!” 55 Uhai ukamrudia, naye akasimama mara moja. Yesu akaamuru apewe chakula. 56 Wazazi wake wakastaajabu sana lakini Yesu akawakataza wasim wambie mtu alivyomfufua binti yao.
Luka 8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Akiwa Galilaya
8 Siku iliyofuata, Yesu alisafiri kupitia katika baadhi ya miji na vijiji. Yesu aliwahubiri watu Habari Njema kuhusu ufalme wa Mungu. Mitume kumi na wawili walikuwa pamoja naye. 2 Walikuwepo pia baadhi ya wanawake ambao Yesu aliwaponya magonjwa na pepo wabaya. Mmoja wao alikuwa Mariamu aitwaye Magdalena ambaye alitokwa na pepo saba; 3 Pia pamoja na wanawake hawa alikuwepo Yoana mke wa Kuza (msimamizi wa mali za Herode), Susana, na wanawake wengine wengi. Wanawake hawa walitumia fedha zao kuwahudumia Yesu na mitume wake.
Simulizi Kuhusu Mkulima Aliyepanda Mbegu
(Mt 13:1-17; Mk 4:1-12)
4 Kundi kubwa la watu lilikusanyika. Watu walimjia Yesu kutoka katika kila mji, naye Yesu akawaambia fumbo hili:
5 “Mkulima alikwenda kupanda mbegu. Alipokuwa akizitawanya, baadhi zilianguka kandokando ya njia. Watu wakazikanyaga, na ndege wa angani wakazila. 6 Zingine zikaanguka kwenye udongo wenye mawe. Zilipoanza kukua zikafa kwa sababu ya kukosa maji. 7 Mbegu zingine ziliangukia kwenye miiba. Miiba ikakua pamoja nazo, miiba ikazisongasonga na hazikukua. 8 Zilizosalia ziliangukia kwenye udongo mzuri wenye rutuba. Mbegu hizi zikaota na kuzaa kila moja mia.”
Yesu akamalizia fumbo. Kisha akapaza sauti, akasema, “Ninyi watu mnaonisikia, sikilizeni!”
9 Wafuasi wake wakamwuliza, “Fumbo hili linamaanisha nini?”
10 Akasema, “Mmechaguliwa kujua kweli za siri kuhusu ufalme wa Mungu. Lakini ninatumia mafumbo kuzungungumza na watu wengine. Ninafanya hivi ili,
‘Watazame,
lakini wasiweze kuona.
Wasikia,
lakini wasielewe.’(A)
Yesu Afafanua Simulizi Kuhusu Mbegu
(Mt 13:18-23; Mk 4:13-20)
11 Hii ndiyo maana ya fumbo hili: Mbegu ni Neno la Mungu. 12 Watu wengine ni kama mbegu zilizoanguka njiani. Husikia mafundisho ya Mungu, lakini Shetani huja na kuwafanya waache kuyatafakari. Hii huwafanya kutoamini na kuokoka. 13 Wengine wanafanana na mbegu zilizoanguka kwenye udongo wenye mawe. Ni watu ambao huyasikia mafundisho ya Mungu na kuyapokea kwa furaha, lakini kwa kuwa hawana mizizi yenye kina, huamini kwa muda mfupi. Majaribu yanapokuja, humwacha Mungu.
14 Zilizoanguka katika miiba, zinafanana na watu wanaoyasikia Mafundisho ya Mungu, lakini wanaruhusu wasiwasi, mali na anasa za maisha haya kuwasimamisha na hawaendelei kukua. Hivyo mafundisho hayazalishi matokeo mazuri katika maisha yao.[a] 15 Na zile zilizoangukia katika udongo mzuri, ni wale ambao huyasikia mafundisho ya Mungu kwa moyo safi na mnyoofu. Huyatii na kwa uvumilivu wao huzaa mazao mazuri.
Zingatieni Nuru
(Mk 4:21-25)
16 Hakuna mtu anayewasha taa na kuifunika kwa bakuli au kuificha uvunguni mwa kitanda. Badala yake huiweka kwenye kinara cha taa mahali palipo wazi, ili wanaoingia ndani wapate nuru ya kuwawezesha kuona. 17 Kila jambo lililofichwa litawekwa wazi na kila siri itajulikana na kila mtu ataiona. 18 Hivyo yatafakarini kwa umakini yale mnayosikia. Watu wenye uelewa kiasi watapokea zaidi. Lakini wale wasio na uelewa watapoteza hata ule wanaodhani kuwa wanao.”
Wafuasi wa Yesu ni Familia Yake Halisi
(Mt 12:46-50; Mk 3:31-35)
19 Mama yake Yesu na wadogo zake wakaenda kumwona, lakini walishindwa kumfikia kwa sababu walikuwepo watu wengi sana. 20 Mtu mmoja akamwambia Yesu, “Mama yako na wadogo zako wamesimama nje. Wanataka kukuona.”
21 Yesu akawajibu “Mama yangu na wadogo zangu ni wale wanaolisikia na kulitii Neno la Mungu.”
Yesu Atuliza Dhoruba
(Mt 8:23-27; Mk 4:35-41)
22 Siku moja Yesu na wafuasi wake walipanda mashua. Akawaambia, “Tuvuke mpaka upande mwingine wa ziwa.” Wakaanza safari kuvuka ziwa. 23 Walipokuwa wanasafiri, Yesu alisinzia. Tufani kubwa ikalikumba ziwa na mashua ikaanza kujaa maji, wakawa katika hatari. 24 Wafuasi wakamwendea, wakamwamsha, wakasema, “Mkuu, mkuu, tutazama!”
Yesu akasimama, akaukemea upepo na mawimbi ya maji. Upepo ukakoma na ziwa likatulia. 25 Ndipo Yesu akawaambia wafuasi wake, “Imani yenu iko wapi?”
Lakini wao waliogopa na kustaajabu, wakanong'onezana, “Huyu ni mtu wa namna gani? Anaamuru upepo na maji, na vinamtii?”
Yesu Amweka Huru Mtu Kutoka Pepo Wachafu
(Mt 8:28-34; Mk 5:1-20)
26 Yesu na wafuasi wake wakasafiri mpaka katika nchi walimoishi Wagerasi[b] iliyokuwa ng'ambo ya ziwa Galilaya. 27 Yesu alipotoka katika mashua, mwanaume mmoja kutoka katika mji ule alimwendea. Mtu huyu alikuwa na mapepo ndani yake. Kwa muda mrefu hakuwahi kuvaa nguo na aliishi makaburini.
28-29 Pepo aliyekuwa ndani yake alikuwa akimpagaa mara nyingi na alikuwa akifungwa gerezani, mikono na miguu yake ikiwa imefungwa kwa minyororo. Lakini kila mara aliivunja. Pepo ndani yake alikuwa anamlazimisha kwenda nje ya mji mahali pasipoishi watu. Yesu alimwamuru kumtoka mtu yule. Alipomwona Yesu, alianguka mbele yake huku akipiga kelele kwa sauti, “Unataka nini kwangu, Yesu, Mwana wa Mungu Mkuu Aliye Juu? Tafadhali usiniadhibu!”
30 Yesu akamwuliza, “Jina lako nani?”
Mtu yule akajibu, “Jeshi.”[c] (Alisema jina lake ni “Jeshi” kwa sababu pepo wengi walikuwa wamemwingia.) 31 Pepo wale wakamsihi Yesu asiwaamuru kwenda shimoni.[d] 32 Katika kilima kile, kulikuwa kundi kubwa la nguruwe wakichungwa. Pepo wakamsihi Yesu awaruhusu wawaingie wale nguruwe. Hivyo Yesu akawaruhusu. 33 Pepo wakamtoka yule mtu, na kuwaingia nguruwe. Kundi lote la wale nguruwe likakimbia kutelemkia ziwani kwa kasi, nguruwe wakazama na kufia humo.
34 Wachungaji wa nguruwe walipoona lililotokea, walikimbia, wakaenda kutoa taarifa mjini na mashambani. 35 Watu wakaenda kuona lililotokea. Walipofika alipokuwa Yesu wakamwona mtu yule aliyetokwa na pepo ameketi karibu na Yesu, amevaa nguo, akiwa na akili zake timamu; pepo walikuwa wamemtoka. Jambo hili likawaogopesha watu. 36 Wale walioona mambo haya yalivyotokea waliwaambia wengine namna Yesu alivyomponya yule mtu. 37 Watu wote waliokuwa wakiishi eneo lote la Gerasi wakamtaka Yesu aondoke kwa sababu waliogopa.
Hivyo Yesu akapanda mashua na kurudi Galilaya. 38 Mtu aliyeponywa alimsihi amfuate Yesu. Lakini Yesu akamtuma, akamwambia, 39 “Rudi nyumbani, ukawaeleze watu mambo ambayo Mungu amekutendea.”
Hivyo mtu yule alikwenda sehemu zote za mji akieleza mambo ambayo Yesu amemtendea.
Yesu Anampa Uhai Msichana Aliyekufa na Kumponya Mwanamke Mgonjwa
(Mt 9:18-26; Mk 5:21-43)
40 Yesu aliporudi Galilaya, watu walimkaribisha. Kila mtu alikuwa anamsubiri. 41-42 Mtu mmoja jina lake Yairo, aliyekuwa mkuu wa sinagogi alimwendea. Alikuwa na binti mmoja tu mwenye umri wa miaka kumi na mbili na alikuwa mgonjwa sana katika hali ya kufa. Hivyo Yairo alisujudu miguuni pa Yesu na akamsihi aende nyumbani kwake.
Yesu alipokuwa akienda nyumbani kwa Yairo, watu walimzonga kila upande. 43 Mwanamke aliyekuwa akitokwa damu kwa miaka kumi na mbili alikuwepo katika umati huo. Alikuwa ametumia mali zake zote kwa madaktari,[e] lakini hakuna daktari aliyeweza kumponya. 44 Alikwenda nyuma ya Yesu na kugusa pembe ya vazi lake. Wakati huo huo damu ikaacha kumtoka. 45 Ndipo Yesu akasema, “Nani amenigusa?”
Kila mtu alikataa kuwa hajamgusa, Petro akasema, “Mkuu, watu wamekuzunguka na wanakuzongazonga kila upande.”
46 Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu amenigusa. Nimesikia nguvu ikinitoka.” 47 Yule mwanamke alipoona ya kwamba hataweza kujificha akajitokeza akitetemeka. Akasujudu mbele ya Yesu. Huku kila mmoja akisikia, akaeleza sababu iliyomfanya amguse, na kwamba alipona wakati ule ule alipomgusa. 48 Yesu alimwambia, “Binti yangu umeponywa kwa sababu uliamini. Nenda kwa amani.”
49 Yesu alipokuwa bado anaongea, mtu mmoja kutoka nyumbani kwa yule mkuu wa sinagogi alikuja na akasema, “Binti yako amekwisha kufa! Hakuna haja ya kuendelea kumsumbua Mwalimu.”
50 Yesu aliposikia maneno hayo, alimwambia Yairo, “Usiogope! Amini tu na binti yako ataponywa.”
51 Yesu akaenda nyumbani, alipofika akaruhusu Petro, Yohana, Yakobo pamoja na baba na mama wa yule mtoto tu kuingia ndani pamoja naye. 52 Kila mtu alikuwa akilia na kusikia huzuni kwa sababu msichana alikuwa amekufa. Lakini Yesu akasema, “Msilie. Hajafa. Amelala usingizi tu.”
53 Watu wakamcheka, kwa sababu walijua kuwa amekwisha kufa. 54 Lakini Yesu akamshika mkono na kumwambia, “Mtoto inuka!” 55 Roho yake ikamrudia, akasimama hapo hapo. Yesu akasema, “Mpeni chakula.” 56 Wazazi wa yule binti wakashangaa. Yesu akawakataza wasimwambie mtu yeyote lililotokea.
Footnotes
- 8:14 hayazalishi matokeo mazuri … yao Hayazalishi matokeo mazuri katika maisha yao ina maana ya, “kukua kiroho”, ama watu hawa hawafanyi mambo mazuri ambayo Mungu anataka wayafanye.
- 8:26 Wagerasi Nakala zingine za Kiyunani zina “Wagadarini” na zingine zimewaita “Wagergesini”.
- 8:30 Jeshi Jina hili lina maana nyingi sana. Jina hili lina maana “wengi zaidi” Ni neno lililotumika kwa kundi la wanajeshi 6,000 wa Jeshi la Kirumi.
- 8:31 shimoni Hii ina maana kuwa ni shimo lisilo na mwisho. Ni kama shimo refu ambalo mapepo hukaa (kuzimu).
- 8:43 Alikuwa ametumia … madaktari Nakala zingine za Kiyunani hazina maneno haya.
Luke 8
New International Version
The Parable of the Sower(A)
8 After this, Jesus traveled about from one town and village to another, proclaiming the good news of the kingdom of God.(B) The Twelve were with him, 2 and also some women who had been cured of evil spirits and diseases: Mary (called Magdalene)(C) from whom seven demons had come out; 3 Joanna the wife of Chuza, the manager of Herod’s(D) household; Susanna; and many others. These women were helping to support them out of their own means.
4 While a large crowd was gathering and people were coming to Jesus from town after town, he told this parable: 5 “A farmer went out to sow his seed. As he was scattering the seed, some fell along the path; it was trampled on, and the birds ate it up. 6 Some fell on rocky ground, and when it came up, the plants withered because they had no moisture. 7 Other seed fell among thorns, which grew up with it and choked the plants. 8 Still other seed fell on good soil. It came up and yielded a crop, a hundred times more than was sown.”
When he said this, he called out, “Whoever has ears to hear, let them hear.”(E)
9 His disciples asked him what this parable meant. 10 He said, “The knowledge of the secrets of the kingdom of God has been given to you,(F) but to others I speak in parables, so that,
11 “This is the meaning of the parable: The seed is the word of God.(H) 12 Those along the path are the ones who hear, and then the devil comes and takes away the word from their hearts, so that they may not believe and be saved. 13 Those on the rocky ground are the ones who receive the word with joy when they hear it, but they have no root. They believe for a while, but in the time of testing they fall away.(I) 14 The seed that fell among thorns stands for those who hear, but as they go on their way they are choked by life’s worries, riches(J) and pleasures, and they do not mature. 15 But the seed on good soil stands for those with a noble and good heart, who hear the word, retain it, and by persevering produce a crop.
A Lamp on a Stand
16 “No one lights a lamp and hides it in a clay jar or puts it under a bed. Instead, they put it on a stand, so that those who come in can see the light.(K) 17 For there is nothing hidden that will not be disclosed, and nothing concealed that will not be known or brought out into the open.(L) 18 Therefore consider carefully how you listen. Whoever has will be given more; whoever does not have, even what they think they have will be taken from them.”(M)
Jesus’ Mother and Brothers(N)
19 Now Jesus’ mother and brothers came to see him, but they were not able to get near him because of the crowd. 20 Someone told him, “Your mother and brothers(O) are standing outside, wanting to see you.”
21 He replied, “My mother and brothers are those who hear God’s word and put it into practice.”(P)
Jesus Calms the Storm(Q)(R)
22 One day Jesus said to his disciples, “Let us go over to the other side of the lake.” So they got into a boat and set out. 23 As they sailed, he fell asleep. A squall came down on the lake, so that the boat was being swamped, and they were in great danger.
24 The disciples went and woke him, saying, “Master, Master,(S) we’re going to drown!”
He got up and rebuked(T) the wind and the raging waters; the storm subsided, and all was calm.(U) 25 “Where is your faith?” he asked his disciples.
In fear and amazement they asked one another, “Who is this? He commands even the winds and the water, and they obey him.”
Jesus Restores a Demon-Possessed Man(V)(W)
26 They sailed to the region of the Gerasenes,[b] which is across the lake from Galilee. 27 When Jesus stepped ashore, he was met by a demon-possessed man from the town. For a long time this man had not worn clothes or lived in a house, but had lived in the tombs. 28 When he saw Jesus, he cried out and fell at his feet, shouting at the top of his voice, “What do you want with me,(X) Jesus, Son of the Most High God?(Y) I beg you, don’t torture me!” 29 For Jesus had commanded the impure spirit to come out of the man. Many times it had seized him, and though he was chained hand and foot and kept under guard, he had broken his chains and had been driven by the demon into solitary places.
30 Jesus asked him, “What is your name?”
“Legion,” he replied, because many demons had gone into him. 31 And they begged Jesus repeatedly not to order them to go into the Abyss.(Z)
32 A large herd of pigs was feeding there on the hillside. The demons begged Jesus to let them go into the pigs, and he gave them permission. 33 When the demons came out of the man, they went into the pigs, and the herd rushed down the steep bank into the lake(AA) and was drowned.
34 When those tending the pigs saw what had happened, they ran off and reported this in the town and countryside, 35 and the people went out to see what had happened. When they came to Jesus, they found the man from whom the demons had gone out, sitting at Jesus’ feet,(AB) dressed and in his right mind; and they were afraid. 36 Those who had seen it told the people how the demon-possessed(AC) man had been cured. 37 Then all the people of the region of the Gerasenes asked Jesus to leave them,(AD) because they were overcome with fear. So he got into the boat and left.
38 The man from whom the demons had gone out begged to go with him, but Jesus sent him away, saying, 39 “Return home and tell how much God has done for you.” So the man went away and told all over town how much Jesus had done for him.
Jesus Raises a Dead Girl and Heals a Sick Woman(AE)
40 Now when Jesus returned, a crowd welcomed him, for they were all expecting him. 41 Then a man named Jairus, a synagogue leader,(AF) came and fell at Jesus’ feet, pleading with him to come to his house 42 because his only daughter, a girl of about twelve, was dying.
As Jesus was on his way, the crowds almost crushed him. 43 And a woman was there who had been subject to bleeding(AG) for twelve years,[c] but no one could heal her. 44 She came up behind him and touched the edge of his cloak,(AH) and immediately her bleeding stopped.
45 “Who touched me?” Jesus asked.
When they all denied it, Peter said, “Master,(AI) the people are crowding and pressing against you.”
46 But Jesus said, “Someone touched me;(AJ) I know that power has gone out from me.”(AK)
47 Then the woman, seeing that she could not go unnoticed, came trembling and fell at his feet. In the presence of all the people, she told why she had touched him and how she had been instantly healed. 48 Then he said to her, “Daughter, your faith has healed you.(AL) Go in peace.”(AM)
49 While Jesus was still speaking, someone came from the house of Jairus, the synagogue leader.(AN) “Your daughter is dead,” he said. “Don’t bother the teacher anymore.”
50 Hearing this, Jesus said to Jairus, “Don’t be afraid; just believe, and she will be healed.”
51 When he arrived at the house of Jairus, he did not let anyone go in with him except Peter, John and James,(AO) and the child’s father and mother. 52 Meanwhile, all the people were wailing and mourning(AP) for her. “Stop wailing,” Jesus said. “She is not dead but asleep.”(AQ)
53 They laughed at him, knowing that she was dead. 54 But he took her by the hand and said, “My child, get up!”(AR) 55 Her spirit returned, and at once she stood up. Then Jesus told them to give her something to eat. 56 Her parents were astonished, but he ordered them not to tell anyone what had happened.(AS)
Hiligaynon Bible (Ang Pulong Sang Dios) Copyright © 1996, 2006 by Biblica, Inc.® Used by permission. All rights reserved worldwide.
Copyright © 1989 by Biblica
© 2017 Bible League International
Holy Bible, New International Version®, NIV® Copyright ©1973, 1978, 1984, 2011 by Biblica, Inc.® Used by permission. All rights reserved worldwide.
NIV Reverse Interlinear Bible: English to Hebrew and English to Greek. Copyright © 2019 by Zondervan.
