Font Size
Waebrania 11:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
Waebrania 11:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
16 Lakini sasa wanatamani nchi iliyo bora zaidi, yaani, nchi ya mbinguni. Kwa hiyo Mungu haoni aibu kuitwa Mungu wao, kwa maana amewatayarishia mji.
17 Kwa imani Abrahamu alipojaribiwa alimtoa Isaki awe dha bihu. Yeye ambaye alikuwa amepokea ahadi za Mungu alikuwa tayari kumtoa mwanae wa pekee awe dhabihu, 18 ingawa Mungu alikuwa amemwambia, “Uzao wako utatokana na Isaki.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica