Font Size
Ufunua wa Yohana 1:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Ufunua wa Yohana 1:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Kuhusu Ufunuo Huu
1 Huu ni ufunuo wa Yesu Kristo aliopewa na Mungu ili apate kuwaonyesha watumishi wake mambo yatakayotokea karibuni. Kristo alimtuma malaika wake amjulishe mtumishi wake Yohana, 2 ambaye ameandika yale yote aliyoyaona, yaani ujumbe wa neno la Mungu na ushuhuda wa Yesu Kristo. 3 Amebarikiwa anayesoma maneno ya unabii huu na wale wanaosikiliza na kuzingatia yale yaliyoandikwa humu, maana wakati umekaribia.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica