Kutenda Mema

Wakumbushe watu kujinyenyekeza kwa watawala na watu wenye mamlaka; wawe watii na wepesi kufanya kazi yo yote halali. Wakumbushe wasimtukane mtu ye yote, wasiwe wagomvi, wawe wapole na waonyeshe unyenyekevu kwa kila mtu.

Maana kuna wakati ambapo sisi wenyewe tulikuwa wajinga, wakaidi; tukidanganywa na daima kutawaliwa na tamaa mbaya na anasa za kila aina. Tulikuwa tukiishi maisha ya uovu na wivu, tukichukiwa na watu na kuchukiana sisi kwa sisi. Lakini wakati wema na upendo wa Mungu Mkombozi wetu ulipodhihirishwa, ali tuokoa, si kwa sababu ya matendo mema ya haki tuliyotenda, bali kwa sababu ya huruma yake. Alituokoa kwa kuoshwa na kuzaliwa mara ya pili na kufanywa wapya kwa njia ya Roho Mtakatifu, ambaye Mungu alitumiminia kwa wingi kwa njia ya Yesu Kristo Mwokozi wetu. Na tukishahesabiwa haki kwa neema yake, tupate kufanywa warithi wa uzima wa milele tunaoutumainia . Neno hili ni kweli kabisa. Ninataka uyatilie mkazo mambo haya ili wale waliomwamini Mungu waone umuhimu wa kutenda mema wakati wote, maana mambo haya ni mazuri na tena ni ya manufaa kwa watu.

Lakini jiepushe na ubishi wa kipuuzi: mambo kama orodha ndefu za vizazi na ubishi na ugomvi juu ya sheria; haya hayana maana wala hayamsaidii mtu ye yote. 10 Mtu anayesababisha mafarakano, muonye mara ya kwanza na mara ya pili. Baada ya hapo, usijishughulishe naye tena. 11 Una jua kwamba mtu kama huyo amepotoka na tena ni mwenye dhambi ambaye amejihukumu mwenyewe.

Maagizo Ya Mwisho

12 Nitakapomtuma Artema au Tikiko kwako, jitahidi kuja Nika poli unione, maana nimeamua kukaa huko wakati wa majira ya bar idi. 13 Wahimize Zena, yule mwanasheria, na Apolo waje upesi na uhakikishe kwamba hawapungukiwi na kitu cho chote. 14 Watu wetu hawana budi kujifunza kuona umuhimu wa kutenda mema, ili waweze kusaidia watu wenye mahitaji ya lazima na maisha yao yasikose kuwa na matunda.

Graces of the Heirs of Grace

Remind them (A)to be subject to rulers and authorities, to obey, (B)to be ready for every good work, to speak evil of no one, to be peaceable, gentle, showing all humility to all men. For (C)we ourselves were also once foolish, disobedient, deceived, serving various lusts and pleasures, living in malice and envy, hateful and hating one another. But when (D)the kindness and the love of (E)God our Savior toward man appeared, (F)not by works of righteousness which we have done, but according to His mercy He saved us, through (G)the washing of regeneration and renewing of the Holy Spirit, (H)whom He poured out on us abundantly through Jesus Christ our Savior, that having been justified by His grace (I)we should become heirs according to the hope of eternal life.

(J)This is a faithful saying, and these things I want you to affirm constantly, that those who have believed in God should be careful to maintain good works. These things are good and profitable to men.

Avoid Dissension

But (K)avoid foolish disputes, genealogies, contentions, and strivings about the law; for they are unprofitable and useless. 10 (L)Reject a divisive man after the first and second [a]admonition, 11 knowing that such a person is warped and sinning, being self-condemned.

Final Messages

12 When I send Artemas to you, or (M)Tychicus, be diligent to come to me at Nicopolis, for I have decided to spend the winter there. 13 Send Zenas the lawyer and (N)Apollos on their journey with haste, that they may lack nothing. 14 And let our people also learn to maintain good works, to meet urgent needs, that they may not be unfruitful.

Farewell

15 All who are with me greet you. Greet those who love us in the faith.

Grace be with you all. Amen.

Footnotes

  1. Titus 3:10 warning

Be Ready for Every Good Work

Remind them (A)to be submissive to rulers and authorities, (B)to be obedient, to be ready for every good work, (C)to speak evil of no one, (D)to avoid quarreling, to be gentle, and (E)to show perfect courtesy toward all people. For (F)we ourselves were once foolish, disobedient, led astray, slaves to various passions and pleasures, passing our days in malice and envy, hated by others and hating one another. But when (G)the goodness and loving kindness of God our Savior appeared, he saved us, (H)not because of works done by us in righteousness, but (I)according to his own mercy, by (J)the washing of regeneration and (K)renewal of the Holy Spirit, whom he (L)poured out on us richly through Jesus Christ our Savior, so that (M)being justified by his grace we might become (N)heirs (O)according to the hope of eternal life. The saying is (P)trustworthy, and I want you to insist on these things, so that those who have believed in God may be careful (Q)to devote themselves to good works. These things are excellent and profitable for people. But (R)avoid foolish (S)controversies, (T)genealogies, dissensions, and quarrels about the law, for (U)they are unprofitable and worthless. 10 As for a person who stirs up division, (V)after warning him once and then twice, (W)have nothing more to do with him, 11 knowing that such a person is warped and sinful; he is self-condemned.

Final Instructions and Greetings

12 When I send Artemas or (X)Tychicus to you, do your best to come to me (Y)at Nicopolis, for I have decided to spend the winter there. 13 Do your best to speed Zenas the lawyer and (Z)Apollos on their way; see that they lack nothing. 14 And let our people learn (AA)to devote themselves to good works, so as to help cases of urgent need, and not (AB)be unfruitful.

15 All who are with me send greetings to you. Greet those who love us in the faith.

(AC)Grace be with you all.