Add parallel Print Page Options

Yesu Afundisha Kuhusu Kutoa

Mnapofanya jambo jema, kuweni waangalifu msilifanye mbele za watu wengine ili wawaone. Mtakapofanya hivyo hamtapata thawabu kutoka kwa Baba yenu wa mbinguni.

Unapowapa maskini na wahitaji, usilipigie mbiu sana jambo hilo. Maana hivyo ndivyo wanavyofanya wanafiki kwenye makusanyiko.[a] Wao hupiga mbiu kabla ya kutoa ili watu wawaone, kwa kuwa hutaka kila mtu awasifu. Ukweli ni kuwa, hiyo ndiyo thawabu yote waliyokwishapata. Hivyo unapowapa maskini, mtu yeyote asijue unachofanya.[b] Kutoa kwako kunapaswa kufanyika sirini kwa kuwa Baba yako huona mambo yanayofanywa sirini, naye atakupa thawabu.

Yesu Afundisha Kuhusu Maombi

(Lk 11:2-4)

Mnapoomba, msiwe kama wanafiki. Wanapenda kusimama kwenye masinagogi na kwenye pembe za mitaa na kuomba kwa kupaza sauti. Wanapenda kuonwa na watu. Ukweli ni kuwa hiyo ndiyo thawabu yote watakayopata. Lakini unapoomba, unapaswa kuingia katika chumba chako cha ndani na ufunge mlango. Kisha mwombe Baba yako aliye mahali pa siri. Yeye anayaona mambo yanayofanyika katika siri na hivyo atakupa thawabu.

Na unapoomba usiwe kama watu wasiomjua Mungu. Wao kila wanapoomba wanarudia maneno yale yale, tena na tena, wakidhani kuwa wanapoyarudia maneno hayo mara nyingi watasikiwa na Mungu na kujibiwa maombi yao. Msiwe kama wao. Baba yenu anajua yale mnayohitaji kabla hamjamwomba. Hivyo, hivi ndivyo mnapaswa kuomba:

‘Baba yetu uliye mbinguni,
    Jina lako lipewe utukufu.
10 Ufalme wako uje.
Mapenzi yako yafanyike hapa dunia,
    kama yanavyofanyika huko mbinguni.
11 Utupe leo chakula tunachohitaji.
12 Utusamehe dhambi zetu,
    kama tunavyowasamehe wale wanaotukosea.
13 Usiruhusu tukajaribiwa,
    lakini utuokoe na Yule Mwovu.’[c]

14 Mkiwasemehe wengine makosa waliyowatendea, Baba yenu wa mbinguni naye atawasamehe makosa yenu pia. 15 Lakini msipowasamehe wengine, Baba Yenu wa mbinguni hatawasamehe ninyi.

Yesu Afundisha Kuhusu Kufunga

16 Mnapofunga, msijionyeshe kuwa na huzuni kama wanafiki wanavyofanya. Hukunja nyuso zao kwa kuonesha kuwa wana huzuni ili watu wawaone kuwa wamefunga. Ukweli ni kuwa wamekwishapata thawabu yao yote. 17 Hivyo unapofunga, nawa uso wako na ujiweke katika mwonekano mzuri, 18 ili watu wasijue kuwa umefunga, isipokuwa Baba yako, aliye nawe hata sirini. Anaweza kuona yanayofanywa sirini, naye atakupa thawabu.

Huwezi Kuwatumikia Mabwana Wawili

(Lk 12:33-34; 11:34-36; 16:13)

19 Msijiwekee hazina hapa duniani, mahali nondo na kutu[d] huiharibu. Na wezi wanaweza kuvunja nyumba yako na kuziiba. 20 Badala yake jiwekeeni hazina mbinguni ambako haziwezi kuharibiwa na nondo wala kutu na ambako wezi hawawezi kuvunja na kuziiba. 21 Kwa kuwa roho yako itakuwa mahali ilipo hazina yako.

22 Jinsi unavyowaangalia watu wengine ndivyo inavyoonyesha jinsi wewe mwenyewe ulivyo ndani yako. Ukiwaangalia watu kwa nia njema utajawa na nuru ndani yako. 23 Lakini ukiwaangalia watu kwa nia mbaya, utajawa na giza ndani yako. Na ikiwa yote yanayoonekana ndani yako ni giza peke yake, basi unalo giza baya zaidi![e]

24 Hamwezi kuwatumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja. Mtamchukia mmoja na kumpenda yule mwingine au mtakuwa waaminifu kwa mmoja na kumdharau yule mwingine. Hamwezi kumtumikia Mungu pamoja na pesa.[f]

Utangulizeni Kwanza Ufalme wa Mungu

(Lk 12:22-34)

25 Kwa hiyo ninawaambia, msiyahangaikie mahitaji ya mwili; mtakula nini, mtakunywa nini au mtavaa nini. Uhai ni zaidi ya chakula na mavazi. 26 Waangalieni ndege wa angani. Hawapandi, hawavuni wala kutunza chakula ghalani, lakini Baba yenu wa mbinguni huwalisha. Je, hamjui kuwa ninyi mna thamani zaidi ya ndege? 27 Hamwezi kujiongezea muda wa kuishi kwa kujisumbua.

28 Na kwa nini mna wasiwasi kuhusu mavazi? Yaangalieni maua ya kondeni. Yatazameni namna yanavyomea. Hayafanyi kazi wala kujitengenezea mavazi. 29 Lakini ninawaambia kuwa hata Suleimani, mfalme mkuu na tajiri, hakuvikwa vizuri kama mojawapo ya maua haya. 30 Ikiwa Mungu anayafanya majani yanayoota mashambani kuwa mazuri mnafikiri atawafanyia ninyi kitu gani? Hayo ni majani tu, siku moja yako hai na siku inayofuata hutupwa katika moto. Lakini Mungu anajali kiasi cha kuyafanya kuwa mazuri ya kupendeza. Muwe na hakika basi atawapa ninyi mavazi mnayohitaji. Imani yenu ni ndogo sana!

31 Msijisumbue na kusema, ‘Tutakula nini?’ au ‘Tutakunywa nini?’ au ‘Tutavaa nini?’ 32 Haya ndiyo mambo ambayo watu wasiomjua Mungu huyawazia daima. Msiwe na wasiwasi, kwa sababu Baba yenu wa mbinguni anajua kuwa mnayahitaji haya yote. 33 Utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na mambo yote ambayo Mungu anahesabu kuwa ni mema na yenye haki. Ndipo Mungu atakapowapa yote mnayohitaji. 34 Msiisumbukie kesho. Kwa kuwa kesho itajisumbukia yenyewe. Kila siku ina mahangaiko yake ya kutosha.

Footnotes

  1. 6:2 makusanyiko Au “masinagogi”.
  2. 6:3 asijue unachofanya Kwa maana ya kawaida, “Mkono wako wa kushoto usijue kile ambacho mkono wako wa kushoto unafanya.”
  3. 6:13 Nakala zingine za Kiyunani zimeongeza: “Kwa kuwa ufalme na nguvu na utukufu ni vyako milele na milele. Amina.”
  4. 6:19 nondo na kutu Pia katika mstari wa 20.
  5. 6:22-23 Kwa maana ya kawaida, 22 Taa ya mwili ni jicho. Hivyo, jicho lako likiwa safi, mwili wako wote utakuwa na nuru tele. 23 Lakini jicho lako likiwa na uovu, mwili wako wote utakuwa na giza. Hivyo ikiwa nuru ndani yako ni giza, giza hilo ni linatisha.
  6. 6:24 pesa Au “mamona”, neno la Kiaramu linalomaanisha “utajiri”.

Do Good to Please God

“Take heed that you do not do your charitable deeds before men, to be seen by them. Otherwise you have no reward from your Father in heaven. Therefore, (A)when you do a charitable deed, do not sound a trumpet before you as the hypocrites do in the synagogues and in the streets, that they may have glory from men. Assuredly, I say to you, they have their reward. But when you do a charitable deed, do not let your left hand know what your right hand is doing, that your charitable deed may be in secret; and your Father who sees in secret (B)will Himself reward you [a]openly.

The Model Prayer(C)

“And when you pray, you shall not be like the [b]hypocrites. For they love to pray standing in the synagogues and on the corners of the streets, that they may be seen by men. Assuredly, I say to you, they have their reward. But you, when you pray, (D)go into your room, and when you have shut your door, pray to your Father who is in the secret place; and your Father who sees in secret will reward you [c]openly. And when you pray, (E)do not use vain repetitions as the heathen do. (F)For they think that they will be heard for their many words.

“Therefore do not be like them. For your Father (G)knows the things you have need of before you ask Him. In this (H)manner, therefore, pray:

(I)Our Father in heaven,
Hallowed be Your (J)name.
10 Your kingdom come.
(K)Your will be done
On earth (L)as it is in heaven.
11 Give us this day our (M)daily bread.
12 And (N)forgive us our debts,
As we forgive our debtors.
13 (O)And do not lead us into temptation,
But (P)deliver us from the evil one.
[d]For Yours is the kingdom and the power and the glory forever. Amen.

14 (Q)“For if you forgive men their trespasses, your heavenly Father will also forgive you. 15 But (R)if you do not forgive men their trespasses, neither will your Father forgive your trespasses.

Fasting to Be Seen Only by God

16 “Moreover, (S)when you fast, do not be like the [e]hypocrites, with a sad countenance. For they disfigure their faces that they may appear to men to be fasting. Assuredly, I say to you, they have their reward. 17 But you, when you fast, (T)anoint your head and wash your face, 18 so that you do not appear to men to be fasting, but to your Father who is in the secret place; and your Father who sees in secret will reward you [f]openly.

Lay Up Treasures in Heaven(U)

19 (V)“Do not lay up for yourselves treasures on earth, where moth and rust destroy and where thieves break in and steal; 20 (W)but lay up for yourselves treasures in heaven, where neither moth nor rust destroys and where thieves do not break in and steal. 21 For where your treasure is, there your heart will be also.

The Lamp of the Body(X)

22 (Y)“The lamp of the body is the eye. If therefore your eye is [g]good, your whole body will be full of light. 23 But if your eye is [h]bad, your whole body will be full of darkness. If therefore the light that is in you is darkness, how great is that darkness!

You Cannot Serve God and Riches

24 (Z)“No one can serve two masters; for either he will hate the one and love the other, or else he will be loyal to the one and despise the other. (AA)You cannot serve God and [i]mammon.

Do Not Worry(AB)

25 “Therefore I say to you, (AC)do not worry about your life, what you will eat or what you will drink; nor about your body, what you will put on. Is not life more than food and the body more than clothing? 26 (AD)Look at the birds of the air, for they neither sow nor reap nor gather into barns; yet your heavenly Father feeds them. Are you not of more value than they? 27 Which of you by worrying can add one [j]cubit to his [k]stature?

28 “So why do you worry about clothing? Consider the lilies of the field, how they grow: they neither toil nor spin; 29 and yet I say to you that even Solomon in all his glory was not [l]arrayed like one of these. 30 Now if God so clothes the grass of the field, which today is, and tomorrow is thrown into the oven, will He not much more clothe you, O you of little faith?

31 “Therefore do not worry, saying, ‘What shall we eat?’ or ‘What shall we drink?’ or ‘What shall we wear?’ 32 For after all these things the Gentiles seek. For your heavenly Father knows that you need all these things. 33 But (AE)seek first the kingdom of God and His righteousness, and all these things shall be added to you. 34 Therefore do not worry about tomorrow, for tomorrow will worry about its own things. Sufficient for the day is its own trouble.

Footnotes

  1. Matthew 6:4 NU omits openly
  2. Matthew 6:5 pretenders
  3. Matthew 6:6 NU omits openly
  4. Matthew 6:13 NU omits the rest of v. 13.
  5. Matthew 6:16 pretenders
  6. Matthew 6:18 NU, M omit openly
  7. Matthew 6:22 Clear, or healthy
  8. Matthew 6:23 Evil, or unhealthy
  9. Matthew 6:24 Lit., in Aram., riches
  10. Matthew 6:27 About 18 inches
  11. Matthew 6:27 height
  12. Matthew 6:29 dressed

“Take care! Don’t do your good deeds publicly, to be admired, for then you will lose the reward from your Father in heaven. When you give a gift to a beggar, don’t shout about it as the hypocrites do—blowing trumpets in the synagogues and streets to call attention to their acts of charity! I tell you in all earnestness, they have received all the reward they will ever get. But when you do a kindness to someone, do it secretly—don’t tell your left hand what your right hand is doing. And your Father, who knows all secrets, will reward you.

“And now about prayer. When you pray, don’t be like the hypocrites who pretend piety by praying publicly on street corners and in the synagogues where everyone can see them. Truly, that is all the reward they will ever get. But when you pray, go away by yourself, all alone, and shut the door behind you and pray to your Father secretly, and your Father, who knows your secrets, will reward you.

7-8 “Don’t recite the same prayer over and over as the heathen do, who think prayers are answered only by repeating them again and again. Remember, your Father knows exactly what you need even before you ask him!

“Pray along these lines: ‘Our Father in heaven, we honor your holy name. 10 We ask that your kingdom will come now. May your will be done here on earth, just as it is in heaven. 11 Give us our food again today, as usual, 12 and forgive us our sins, just as we have forgiven those who have sinned against us. 13 Don’t bring us into temptation, but deliver us from the Evil One.[a] Amen.’ 14-15 Your heavenly Father will forgive you if you forgive those who sin against you; but if you refuse to forgive them, he will not forgive you.

16 “And now about fasting. When you fast, declining your food for a spiritual purpose, don’t do it publicly, as the hypocrites do, who try to look wan and disheveled so people will feel sorry for them. Truly, that is the only reward they will ever get. 17 But when you fast, put on festive clothing, 18 so that no one will suspect you are hungry, except your Father who knows every secret. And he will reward you.

19 “Don’t store up treasures here on earth where they can erode away or may be stolen. 20 Store them in heaven where they will never lose their value and are safe from thieves. 21 If your profits are in heaven, your heart will be there too.

22 “If your eye is pure, there will be sunshine in your soul. 23 But if your eye is clouded with evil thoughts and desires, you are in deep spiritual darkness. And oh, how deep that darkness can be!

24 “You cannot serve two masters: God and money. For you will hate one and love the other, or else the other way around.

25 “So my counsel is: Don’t worry about things—food, drink, and clothes. For you already have life and a body—and they are far more important than what to eat and wear. 26 Look at the birds! They don’t worry about what to eat—they don’t need to sow or reap or store up food—for your heavenly Father feeds them. And you are far more valuable to him than they are. 27 Will all your worries add a single moment to your life?

28 “And why worry about your clothes? Look at the field lilies! They don’t worry about theirs. 29 Yet King Solomon in all his glory was not clothed as beautifully as they. 30 And if God cares so wonderfully for flowers that are here today and gone tomorrow, won’t he more surely care for you, O men of little faith?

31-32 “So don’t worry at all about having enough food and clothing. Why be like the heathen? For they take pride in all these things and are deeply concerned about them. But your heavenly Father already knows perfectly well that you need them, 33 and he will give them to you if you give him first place in your life and live as he wants you to.

34 “So don’t be anxious about tomorrow. God will take care of your tomorrow too. Live one day at a time.[b]

Footnotes

  1. Matthew 6:13 from the Evil One, or “from evil.” Some manuscripts add here, “For yours is the kingdom and the power and the glory forever, Amen.”
  2. Matthew 6:34 Live one day at a time, literally, “Sufficient unto the day is the evil thereof.”