Add parallel Print Page Options

Yesu Amefufuka Kutoka Mauti

(Mk 16:1-8; Lk 24:1-12; Yh 20:1-10)

28 Alfajiri mapema siku iliyofuata baada ya siku ya Sabato, yaani siku ya kwanza ya juma, Mariamu Magdalena na mwanamke mwingine aliyeitwa Mariamu alikwenda kuliangalia kaburi.

Ghafla malaika wa Bwana akaja kutoka mbinguni, na tetemeko kubwa likatokea. Malaika alikwenda kaburini na kulivingirisha jiwe kutoka kwenye mlango wa kaburi. Kisha akaketi juu ya jiwe. Malaika alikuwa anang'aa kama miali ya radi. Mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji. Askari waliokuwa wanalinda kaburi walimwogopa sana malaika, walitetemeka kwa woga na wakawa kama watu waliokufa.

Malaika akawaambia wale wanawake, “Msiogope. Ninajua mnamtafuta Yesu, aliyeuawa msalabani. Lakini hayupo hapa. Amefufuka kutoka kwa wafu, kama alivyosema. Njooni mwone mahali ulipokuwa mwili wake. Nendeni haraka mkawaambie wafuasi wake, ‘Yesu amefufuka kutoka kwa wafu. Amekwenda Galilaya na atafika huko kabla yenu. Na mtamwona huko.’” Kisha malaika akasema, “Sasa nimewaambia.”

Hivyo wanawake wakaondoka haraka kaburini. Waliogopa sana, lakini walijawa na furaha. Walipokuwa wanakimbia kwenda kuwaambia wafuasi wake kilichotokea, ghafla Yesu alisimama mbele yao. Akasema, “Salamu!” Wanawake wakamwendea wakamshika miguu na wakamwabudu. 10 Kisha Yesu akawaambia, “Msiogope. Nendeni mkawaambie wafuasi wangu[a] waende Galilaya, wataniona huko.”

Taarifa ya Kufufuka Yesu Yawafikia Viongozi wa Kiyahudi

11 Wanawake wakaenda kuwaambia wafuasi. Na wakati huo huo baadhi ya askari waliokuwa wanalinda kaburi waliingia mjini. Walikwenda kuwaambia viongozi wa makuhani kila kitu kilichotokea. 12 Ndipo makuhani wakakutana na viongozi wazee wa Kiyahudi na kufanya mpango. Wakawalipa wale askari pesa nyingi 13 na kuwaambia, “Waambieni watu kuwa wafuasi wake walikuja usiku na kuuiba mwili mlipokuwa mmesinzia. 14 Gavana atakaposikia juu ya hili, tutazungumza naye ili msiadhibiwe.” 15 Hivyo wale askari wakachukua pesa na kuwatii makuhani. Na jambo hili[b] bado linasambaa miongoni mwa Wayahudi hata hivi leo.

Yesu Azungumza na Wafuasi Wake

(Mk 16:14-18; Lk 24:36-49; Yh 20:19-23; Mdo 1:6-8)

16 Wale wafuasi kumi na mmoja walikwenda Galilaya, kwenye mlima ambao Yesu aliwaambia waende. 17 Wakiwa mlimani, wafuasi wale walimwona Yesu na wakamwabudu. Lakini baadhi ya wafuasi hawakuwa na uhakika kama alikuwa Yesu. 18 Kisha Yesu akawajia na akasema, “Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani. 19 Hivyo nendeni ulimwenguni kote mkawafanye watu kuwa wafuasi wangu. Mkiwabatiza katika jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. 20 Wafundisheni kutii kila kitu nilichowaambia. Na tambueni hili: Niko pamoja nanyi daima. Na nitaendelea kuwa pamoja nanyi hata mwisho wa wakati.”

Footnotes

  1. 28:10 wafuasi wangu Kwa maana ya kawaida, “ndugu zangu”.
  2. 28:15 jambo hili Uongo kuwa mwili wa Yesu uliibwa usiku na wafuasi wake.

Jesus Has Risen(A)

28 After the Sabbath, at dawn on the first day of the week, Mary Magdalene(B) and the other Mary(C) went to look at the tomb.

There was a violent earthquake,(D) for an angel(E) of the Lord came down from heaven and, going to the tomb, rolled back the stone(F) and sat on it. His appearance was like lightning, and his clothes were white as snow.(G) The guards were so afraid of him that they shook and became like dead men.

The angel said to the women, “Do not be afraid,(H) for I know that you are looking for Jesus, who was crucified. He is not here; he has risen, just as he said.(I) Come and see the place where he lay. Then go quickly and tell his disciples: ‘He has risen from the dead and is going ahead of you into Galilee.(J) There you will see him.’ Now I have told you.”

So the women hurried away from the tomb, afraid yet filled with joy, and ran to tell his disciples. Suddenly Jesus met them.(K) “Greetings,” he said. They came to him, clasped his feet and worshiped him. 10 Then Jesus said to them, “Do not be afraid. Go and tell my brothers(L) to go to Galilee; there they will see me.”

The Guards’ Report

11 While the women were on their way, some of the guards(M) went into the city and reported to the chief priests everything that had happened. 12 When the chief priests had met with the elders and devised a plan, they gave the soldiers a large sum of money, 13 telling them, “You are to say, ‘His disciples came during the night and stole him away(N) while we were asleep.’ 14 If this report gets to the governor,(O) we will satisfy him and keep you out of trouble.” 15 So the soldiers took the money and did as they were instructed. And this story has been widely circulated among the Jews to this very day.

The Great Commission

16 Then the eleven disciples went to Galilee, to the mountain where Jesus had told them to go.(P) 17 When they saw him, they worshiped him; but some doubted. 18 Then Jesus came to them and said, “All authority in heaven and on earth has been given to me.(Q) 19 Therefore go and make disciples of all nations,(R) baptizing them in the name of the Father and of the Son and of the Holy Spirit,(S) 20 and teaching(T) them to obey everything I have commanded you. And surely I am with you(U) always, to the very end of the age.”(V)

He Is Risen(A)

28 Now (B)after the Sabbath, as the first day of the week began to dawn, Mary Magdalene (C)and the other Mary came to see the tomb. And behold, there was a great earthquake; for (D)an angel of the Lord descended from heaven, and came and rolled back the stone [a]from the door, and sat on it. (E)His countenance was like lightning, and his clothing as white as snow. And the guards shook for fear of him, and became like (F)dead men.

But the angel answered and said to the women, “Do not be afraid, for I know that you seek Jesus who was crucified. He is not here; for He is risen, (G)as He said. Come, see the place where the Lord lay. And go quickly and tell His disciples that He is risen from the dead, and indeed (H)He is going before you into Galilee; there you will see Him. Behold, I have told you.”

So they went out quickly from the tomb with fear and great joy, and ran to bring His disciples word.

The Women Worship the Risen Lord

And [b]as they went to tell His disciples, behold, (I)Jesus met them, saying, “Rejoice!” So they came and held Him by the feet and worshiped Him. 10 Then Jesus said to them, “Do not be afraid. Go and tell (J)My brethren to go to Galilee, and there they will see Me.”

The Soldiers Are Bribed

11 Now while they were going, behold, some of the guard came into the city and reported to the chief priests all the things that had happened. 12 When they had assembled with the elders and consulted together, they gave a large sum of money to the soldiers, 13 saying, “Tell them, ‘His disciples came at night and stole Him away while we slept.’ 14 And if this comes to the governor’s ears, we will appease him and make you secure.” 15 So they took the money and did as they were instructed; and this saying is commonly reported among the Jews until this day.

The Great Commission(K)

16 Then the eleven disciples went away into Galilee, to the mountain (L)which Jesus had appointed for them. 17 When they saw Him, they worshiped Him; but some (M)doubted.

18 And Jesus came and spoke to them, saying, (N)“All authority has been given to Me in heaven and on earth. 19 (O)Go [c]therefore and (P)make disciples of all the nations, baptizing them in the name of the Father and of the Son and of the Holy Spirit, 20 (Q)teaching them to observe all things that I have commanded you; and lo, I am (R)with you always, even to the end of the age.” [d]Amen.

Footnotes

  1. Matthew 28:2 NU omits from the door
  2. Matthew 28:9 NU omits as they went to tell His disciples
  3. Matthew 28:19 M omits therefore
  4. Matthew 28:20 NU omits Amen.