Font Size
Mathayo 26:26-28
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 26:26-28
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Chakula cha Bwana
(Mk 14:22-26; Lk 22:15-20; 1 Kor 11:23-25)
26 Walipokuwa wakila, Yesu alichukua baadhi ya mikate na akamshukuru Mungu. Alimega baadhi ya vipande, akawapa wafuasi wake na akasema, “Chukueni mkate huu na mle. Ni mwili wangu.”
27 Kisha akachukua kikombe chenye divai, akamshukuru Mungu na akawapa. Akasema, “Kila mmoja wenu anywe divai iliyo katika kikombe hiki. 28 Divai hii ni damu yangu, itakayomwagika ili kusamehe dhambi za watu wengi na kuanza Agano Jipya ambalo Mungu analifanya na watu wake.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International