Add parallel Print Page Options

Yesu Aonya Kuhusu Wakati Ujao

(Mt 24:1-25; Lk 21:5-24)

13 Yesu alikuwa akiondoka katika eneo la Hekalu na moja ya wanafunzi wake akamwambia, “Mwalimu, tazama mawe haya yanavyopendeza na jinsi majengo haya yanavyopendeza!”

Yesu akamjibu, “Je, mnayaona majengo haya makubwa? Yote yatabomolewa. Kila jiwe litaporomoshwa hata chini. Hakuna jiwe lolote kati ya haya litakaloachwa mahali pake.”

Naye alipokuwa ameketi juu ya Mlima wa Mizeituni upande wa pili kuvuka Hekalu, Petro, Yakobo, Yohana na Andrea walimwuliza wakiwa faragha, “Haya tuambie, ni lini mambo haya yatakapotokea? Ni ishara gani itakayoonesha ya kwamba yote yanakaribia kutimizwa?”

Yesu akaanza kuwaeleza, “Muwe waangalifu mtu asije akawadanganya. Wengi watakuja huku wakilitumia Jina langu na kusema, ‘Mimi ndiye Masihi,’[a] nao watawadanganya wengi. Mtasikia juu ya vita vinavyopiganiwa na mtasikia habari juu ya vita vingine vinavyoanza. Hata hivyo msishtushwe. Mambo hayo lazima yatokee, kabla ule mwisho wenyewe kufika. Kwani taifa moja litapigana dhidi ya taifa lingine na ufalme mmoja utapigana dhidi ya ufalme mwingine. Yatatokea matetemeko mengi mahali pengi na kutakuwepo na njaa kali sehemu nyingi. Mambo haya yatakuwa ni mwanzo tu wa uchungu wa mama mzazi kabla ya mtoto kuzaliwa.

Hivyo mjihadhari! Wapo watu watakaowakamata na kuwapeleka mkahukumiwe kwa kuwa ninyi ni wanafunzi wangu. Watawapiga katika masinagogi yao. Mtalazimishwa kusimama mbele ya wafalme na watawala. Nanyi mtawaeleza habari zangu. 10 Kabla ya mwisho kufika, ni lazima kwanza habari Njema itangazwe kwa mataifa yote. 11 Wakati wowote watakapowakamata na kuwashitaki, msiwe na wasiwasi kujiandaa kwa yale mtakayoyasema, lakini myaseme yale mtakayopewa saa ile ile, kwa kuwa si ninyi mnaozungumza; bali, ni Roho Mtakatifu anayezungumza.

12 Na ndugu atamsaliti nduguye hata kuuawa, na baba atamsaliti mwanawe. Watoto nao watawaasi wazazi wao na hata kuwatoa wauawe. 13 Nanyi mtachukiwa na wote kwa sababu yangu. Lakini yeyote atakayevumilia hadi mwisho ataokoka.

14 Wakati mtakapoliona chukizo la uharibifu[b] likisimama mahali pasipotakiwa lisimame.” (Msomaji aelewe hii ina maana gani?[c]) “Kisha wale waliopo katika Uyahudi wakimbilie milimani. 15 Ikiwa mtu yupo katika paa la nyumba yake, asishuke chini na kuingia nyumbani mwake kuchukua kitu chochote. 16 Ikiwa mtu yupo shambani asirudi kuchukua vazi lake.

17 Wakati huo itakuwa hatari kwa wanawake walio waja wazito na wale wenye watoto wachanga. 18 Ombeni kwamba haya yasitokee wakati wa majira ya baridi. 19 Kwa kuwa taabu itakayotokea katika siku hizo itakuwa ile ambayo haijawahi kutokea tangu mwanzo pale Mungu alipoumba dunia hadi sasa. Na hakitatokea tena kitu kama hicho. 20 Kama Bwana asingelifupisha muda huo, hakuna ambaye angenusurika. Lakini yeye amefupisha siku hizo kwa ajili ya watu wale aliowateuwa.

21 Ikiwa mtu atawaambia, ‘Tazama, Kristo ni huyu hapa!’ ama ‘Ni yule pale!’ Usiliamini hilo. 22 Kwani Makristo wa uongo na manabii wa uongo watatokea, nao watafanya ishara na miujiza kuwadanganya watu ikiwezekana hata wale ambao Mungu amewachagua. 23 Kwa hiyo mjihadhari nimewaonya juu ya mambo haya kabla hayajatokea.

Yesu Atakaporudi Tena

(Mt 24:29-51; Lk 21:25-36; 19:12-13,40)

24 Lakini katika siku hizo, baada ya kipindi cha dhiki,

‘Jua litatiwa giza,
    mwezi hautatoa mwanga,
25 nyota zitaanguka kutoka angani,
    na mbingu yote itatikisika.’[d]

26 Ndipo watu watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni pamoja na nguvu kubwa na utukufu. 27 Baada ya hapo Mwana wa Adamu atawatuma malaika, na atawakusanya wateule wake kutoka kila upande wa dunia.

28 Jifunzeni somo hili kutoka katika mti wa mtini: Matawi yake yanaponyauka na kubeba majani, unajua kwamba kiangazi kimekaribia. 29 Vivyo hivyo, unapoona mambo haya yanaanza kutokea unajua kwamba muda umekaribia na umeshafika mlangoni. 30 Ninawaambieni ukweli: Kizazi hiki hakitapita kabla ya mambo haya yote hayajatokea. 31 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.

32 Hakuna anayejua wakiwemo malaika wa mbinguni ama Mwana bali baba peke yake lini siku au saa ile itakapowadia. 33 Mjihadhari; Kesheni! Kwani hamjui lini muda huo utafika.

34 Ni kama mtu anayeenda safarini na kabla ya kuondoka huiacha nyumba yake mikononi mwa watumishi wake. Kabla ya kuiacha nyumba yake anawaweka watumishi wake kusimamia kila mmoja akiwa na kazi yake maalumu. Kisha atamwamuru mlinzi mlangoni awe macho. 35 Vivyo hivyo ni lazima mjihadhari, kwa sababu hamjui ni muda gani mkuu wa nyumba atakuja; hamjui kama atakuja jioni, usiku wa manane, wakati jogoo anawika, au alfajiri. 36 Ikiwa atakuja ghafula, basi asiwakute mmelala. 37 Ninachowaambia, namwambia kila mmoja: ‘muwe tayari.’”

Footnotes

  1. 13:6 Masihi Kwa maana ya kawaida, “Yule ambaye”, kwa maana ya Mfalme Mteule wa Mungu aliyetumwa na Mungu. Tazama Mt 24:5 na Masihi katika Orodha ya Maneno.
  2. 13:14 chukizo la uharibifu Ni maneno yanayoashiria kitu ambacho Mungu hapendezwi nacho. Tazama Dan 9:27; 11:31 na 12:11.
  3. 13:14 Msomaji aelewe hii ina maana gani Mwandishi anamtaka msomaji azingatie kwamba anazungumzia Jeshi la Rumi ambalo litaharibu Yerusalemu, ingawa hataki kulielezea hili kwa wazi. Tazama Lk 21:20-24.
  4. 13:24-25 Tazama Isa 13:10; 34:4.

Jesus Predicts the Destruction of the Temple(A)

13 Then (B)as He went out of the temple, one of His disciples said to Him, “Teacher, see what manner of stones and what buildings are here!

And Jesus answered and said to him, “Do you see these great buildings? (C)Not one stone shall be left upon another, that shall not be thrown down.”

The Signs of the Times and the End of the Age(D)

Now as He sat on the Mount of Olives opposite the temple, (E)Peter, (F)James, (G)John, and (H)Andrew asked Him privately, (I)“Tell us, when will these things be? And what will be the sign when all these things will be fulfilled?”

And Jesus, answering them, began to say: (J)“Take heed that no one deceives you. For many will come in My name, saying, ‘I am He,’ and will deceive many. But when you hear of wars and rumors of wars, do not be troubled; for such things must happen, but the end is not yet. For nation will rise against nation, and (K)kingdom against kingdom. And there will be earthquakes in various places, and there will be famines [a]and troubles. (L)These are the beginnings of [b]sorrows.

“But (M)watch out for yourselves, for they will deliver you up to councils, and you will be beaten in the synagogues. You will [c]be brought before rulers and kings for My sake, for a testimony to them. 10 And (N)the gospel must first be preached to all the nations. 11 (O)But when they arrest you and deliver you up, do not worry beforehand, [d]or premeditate what you will speak. But whatever is given you in that hour, speak that; for it is not you who speak, (P)but the Holy Spirit. 12 Now (Q)brother will betray brother to death, and a father his child; and children will rise up against parents and cause them to be put to death. 13 (R)And you will be hated by all for My name’s sake. But (S)he who [e]endures to the end shall be saved.

The Great Tribulation(T)

14 (U)“So when you see the (V)‘abomination of desolation,’ [f]spoken of by Daniel the prophet, standing where it ought not” (let the reader understand), “then (W)let those who are in Judea flee to the mountains. 15 Let him who is on the housetop not go down into the house, nor enter to take anything out of his house. 16 And let him who is in the field not go back to get his clothes. 17 (X)But woe to those who are pregnant and to those who are nursing babies in those days! 18 And pray that your flight may not be in winter. 19 (Y)For in those days there will be tribulation, such as has not been since the beginning of the creation which God created until this time, nor ever shall be. 20 And unless the Lord had shortened those days, no flesh would be saved; but for the elect’s sake, whom He chose, He shortened the days.

21 (Z)“Then if anyone says to you, ‘Look, here is the Christ!’ or, ‘Look, He is there!’ do not believe it. 22 For false christs and false prophets will rise and show signs and (AA)wonders to deceive, if possible, even the [g]elect. 23 But (AB)take heed; see, I have told you all things beforehand.

The Coming of the Son of Man(AC)

24 (AD)“But in those days, after that tribulation, the sun will be darkened, and the moon will not give its light; 25 the stars of heaven will fall, and the powers in the heavens will be (AE)shaken. 26 (AF)Then they will see the Son of Man coming in the clouds with great power and glory. 27 And then He will send His angels, and gather together His [h]elect from the four winds, from the farthest part of earth to the farthest part of heaven.

The Parable of the Fig Tree(AG)

28 (AH)“Now learn this parable from the fig tree: When its branch has already become tender, and puts forth leaves, you know that summer is near. 29 So you also, when you see these things happening, know that [i]it is near—at the doors! 30 Assuredly, I say to you, this generation will by no means pass away till all these things take place. 31 Heaven and earth will pass away, but (AI)My words will by no means pass away.

No One Knows the Day or Hour(AJ)

32 “But of that day and hour (AK)no one knows, not even the angels in heaven, nor the Son, but only the (AL)Father. 33 (AM)Take heed, watch and pray; for you do not know when the time is. 34 (AN)It is like a man going to a far country, who left his house and gave (AO)authority to his servants, and to each his work, and commanded the doorkeeper to watch. 35 (AP)Watch therefore, for you do not know when the master of the house is coming—in the evening, at midnight, at the crowing of the rooster, or in the morning— 36 lest, coming suddenly, he find you sleeping. 37 And what I say to you, I say to all: Watch!”

Footnotes

  1. Mark 13:8 NU omits and troubles
  2. Mark 13:8 Lit. birth pangs
  3. Mark 13:9 NU, M stand
  4. Mark 13:11 NU omits or premeditate
  5. Mark 13:13 bears patiently
  6. Mark 13:14 NU omits spoken of by Daniel the prophet
  7. Mark 13:22 chosen ones
  8. Mark 13:27 chosen ones
  9. Mark 13:29 Or He

13 And as [Jesus] was coming out of the temple [[a]area], one of His disciples said to Him, Look, Teacher! Notice the sort and quality of these stones and buildings!

And Jesus replied to him, You see these great buildings? There will not be left here one stone upon another that will not be loosened and torn down.

And as He sat on the Mount of Olives opposite the temple [[b]enclosure], Peter and James and John and Andrew asked Him privately,

Tell us when is this to take place and what will be the sign when these things, all [of them], are about to be accomplished?

And Jesus began to tell them, Be careful and watchful that no one misleads you [about it].

Many will come in [[c]appropriating to themselves] the name [of Messiah] which belongs to Me [[d]basing their claims on the use of My name], saying, I am [He]! And they will mislead many.

And when you hear of wars and rumors of wars, do not get alarmed (troubled and frightened); it is necessary [that these things] take place, but the end is not yet.

For nation will rise against nation, and kingdom against kingdom. There will be earthquakes in various places; there will be famines and calamities. This is but the beginning of the [e]intolerable anguish and suffering [only the first of the [f]birth pangs].

But look to yourselves; for they will turn you over to councils, and you will be beaten in the synagogues, and you will stand before governors and kings for My sake as a testimony to them.

10 And the good news (the Gospel) must first be preached to all nations.

11 Now when they take you [to court] and put you under arrest, do not be anxious beforehand about what you are to say [g]nor [even] meditate about it; but say whatever is given you in that hour and at [h]the moment, for it is not you who will be speaking, but the Holy Spirit.

12 And brother will hand over brother to death, and the father his child; and children will take a stand against their parents and [have] them put to death.

13 And you will be hated and detested by everybody for My name’s sake, but he who patiently perseveres and endures to the end will be saved ([i]made a partaker of the salvation by Christ, and delivered [j]from spiritual death).

14 But when you see the abomination of desolation mentioned by Daniel the prophet standing where it ought not to be—[and] let the one who reads take notice and consider and understand and heed [this]—then let those who are in Judea flee to the mountains.(A)

15 Let him who is on the housetop not go down into the house nor go inside to take anything out of his house;

16 And let him who is in the field not turn back again to get his mantle (cloak).

17 And alas for those who are pregnant and for those who have nursing babies in those days!

18 Pray that it may not occur in winter,

19 For at that time there will be such affliction (oppression and tribulation) as has not been from the beginning of the creation which God created until this particular time—and [k]positively never will be [again].

20 And unless the Lord had shortened the days, no human being would be saved (rescued); but for the sake of the elect, His chosen ones (those whom He [l]picked out for Himself), He has shortened the days.(B)

21 And then if anyone says to you, See, here is the Christ (the Messiah)! or, Look, there He is! do not believe it.

22 False Christs (Messiahs) and false prophets will arise and show signs and [work] miracles to deceive and lead astray, if possible, even the elect (those God has chosen out for Himself).

23 But look to yourselves and be on your guard; I have told you everything beforehand.

24 But in those days, after [the affliction and oppression and distress of] that tribulation, the sun will be darkened, and the moon will not give its light;(C)

25 And the stars will be falling from the sky, and the powers in the heavens will be shaken.(D)

26 And then they will see the Son of Man coming in clouds with great (kingly) power and glory (majesty and splendor).(E)

27 And then He will send out the angels and will gather together His elect (those He has [m]picked out for Himself) from the four winds, from the farthest bounds of the earth to the farthest bounds of heaven.

28 Now learn a lesson from the fig tree: as soon as its branch becomes tender and it puts forth its leaves, you recognize and know that summer is near.

29 So also, when you see these things happening, you may recognize and know that He is near, at [the very] door.

30 Surely I say to you, this generation ([n]the whole multitude of people living at that one time) positively will not perish or pass away before all these things take place.

31 Heaven and earth will perish and pass away, but My words will not perish or pass away.

32 But of that day or that hour not a [single] person knows, not even the angels in heaven, nor the Son, but only the Father.

33 Be on your guard [constantly alert], and watch [o]and pray; for you do not know when the time will come.

34 It is like a man [[p]already] going on a journey; when he leaves home, he puts his servants in charge, each with his particular task, and he gives orders to the doorkeeper to be constantly alert and on the watch.

35 Therefore watch (give strict attention, be cautious and alert), for you do not know when the Master of the house is coming—in the evening, or at midnight, or at cockcrowing, or in the morning—

36 [Watch, I say] lest He come suddenly and unexpectedly and find you asleep.

37 And what I say to you I say to everybody: Watch (give strict attention, be cautious, active, and alert)!

Footnotes

  1. Mark 13:1 Richard Trench, Synonyms of the New Testament.
  2. Mark 13:3 Richard Trench, Synonyms of the New Testament.
  3. Mark 13:6 Joseph Thayer, A Greek-English Lexicon.
  4. Mark 13:6 Marvin Vincent, Word Studies.
  5. Mark 13:8 Joseph Thayer, A Greek-English Lexicon.
  6. Mark 13:8 Literal meaning.
  7. Mark 13:11 Most manuscripts do not contain this phrase.
  8. Mark 13:11 James Moulton and George Milligan, The Vocabulary.
  9. Mark 13:13 Joseph Thayer, A Greek-English Lexicon.
  10. Mark 13:13 Joseph Thayer, A Greek-English Lexicon.
  11. Mark 13:19 Kenneth Wuest, Word Studies.
  12. Mark 13:20 G. Abbott-Smith, Manual Greek Lexicon.
  13. Mark 13:27 G. Abbott-Smith, Manual Greek Lexicon.
  14. Mark 13:30 Hermann Cremer, Biblico-Theological Lexicon; Joseph Thayer, A Greek-English Lexicon; and G. Abbott-Smith, Manual Greek Lexicon.
  15. Mark 13:33 Some manuscripts add “and pray.”
  16. Mark 13:34 John Wycliffe, The Wycliffe Bible; William Tyndale, The Tyndale Bible.