Add parallel Print Page Options

Badilisheni Namna Mnavyoishi

13 Sehemu ya watu waliokuwa pamoja na Yesu pale, walimweleza kilichowapata baadhi ya waabuduo kutoka Galilaya. Pilato alikuwa ameamuru wauawe. Damu zao zilichanganywa na damu za wanyama waliowaleta kwa ajili ya kutoa dhabihu. Yesu alijibu akasema, “Mnadhani hili liliwapata watu hao kwa sababu walikuwa wenye dhambi kuliko watu wengine wote wa Galilaya? Hapana, hawakuwa hivyo. Lakini ikiwa hamtaamua kubadili maisha yenu sasa, ninyi nyote mtaangamizwa kama wao! Na vipi kuhusu wale watu kumi na wanane waliokufa pale mnara wa Siloamu ulipowaangukia? Mnadhani walikuwa na dhambi kuliko watu wengine katika mji wa Yerusalemu? Hawakuwa hivyo. Lakini ninawaambia, ikiwa hamtaamua kubadilika sasa, hata ninyi mtaangamizwa pia!”

Mti Usiozaa Matunda

Yesu akawasimulia mfano huu: “Mtu mmoja alikuwa amepanda mtini katika shamba lake. Alipokuja kutafuta matunda kwenye mtini huo hakupata tunda lolote. Alikuwa na mtumishi aliyekuwa akilitunza shamba. Hivyo alimwambia mtumishi wake, ‘Nimekuwa nikitafuta matunda kwenye mti huu kwa miaka mitatu, lakini sijawahi kupata tunda lolote. Ukate mti huu! Kwa maana unaiharibu ardhi.’ Lakini mtumishi alijibu, ‘Mkuu, tuuache mti huu mwaka mmoja zaidi ili tuone ikiwa utazaa matunda. Nitakusanya samadi kuuzunguka ili kuupa mbolea. Unaweza kuzaa matunda mwaka ujao. Ikiwa hautazaa, ndipo utaweza kuukata.’”

Yesu Amponya Mwanamke Siku ya Sabato

10 Yesu alikuwa akifundisha katika sinagogi moja siku ya Sabato. 11 Alikuwepo mwanamke mmoja ndani ya sinagogi aliyekuwa na pepo mchafu aliyemlemaza kwa muda wa miaka kumi na nane. Mgongo wake ulikuwa umepinda na hakuweza kusimama akiwa amenyooka. 12 Yesu alipomwona alimwita na kumwambia, “Mama, umefunguliwa kutoka katika ugonjwa wako!” 13 Akaweka mikono yake juu yake na saa hiyo hiyo akaweza kusimama akiwa amenyooka. Akaanza kumsifu Mungu.

14 Kiongozi wa sinagogi alikasirika kwa sababu Yesu aliponya siku ya Sabato. Akawaambia watu, “Kuna siku sita za kufanya kazi. Hivyo njooni ili mponywe katika moja ya siku hizo, msije siku ya Sabato kutafuta uponyaji.”

15 Yesu akamjibu kwa kusema, “Ninyi watu ni wanafiki! Ninyi nyote huwafungulia punda au ng'ombe wenu wa kulimia kutoka zizini na kuwapeleka kunywa maji kila siku, hata siku ya Sabato. 16 Mwanamke huyu niliyemponya ni mzaliwa halisi wa Ibrahimu.[a] Lakini Shetani alikuwa amemfunga kwa miaka kumi na nane. Hakika si kosa yeye kuponywa ugonjwa wake siku ya Sabato!” 17 Yesu aliposema haya, watu wote waliokuwa wanampinga walidhalilika. Kundi lote likafurahi kwa sababu ya mambo makuu aliyatenda.

Simulizi Nyingine ya Ufalme

(Mt 13:31-33; Mk 4:30-32)

18 Kisha Yesu akasema, “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Niufananishe na nini? 19 Ufalme wa Mungu ni kama mbegu ya haradali. Mtu mmoja aliichukua na kuipanda katika bustani yake. Mbegu ikaota, ikakua na kuwa mti na ndege wakatengeneza viota kwenye matawi yake.”

20 Yesu akasema tena, “Niufananishe na nini ufalme wa Mungu? 21 Ufalme wa Mungu unafanana na kiasi kidogo cha chachu ambacho mwanamke hutumia kuchanganya na kilo 20 za unga kutengeneza mkate. Hamira huumua kinyunya[b] chote.”

Mlango Mwembamba

(Mt 7:13-14,21-23)

22 Yesu alikuwa akifundisha katika kila mji na kijiji. Aliendelea kusafiri kuelekea Yerusalemu. 23 Mtu mmoja akamwuliza, “Bwana, watu wangapi wataokolewa? Ni wachache?”

Yesu akajibu, 24 “Mlango wa kuingia katika ufalme wa Mungu ni mwembamba. Jitahidini kuingia kupitia mlango huo. Watu wengi watataka kuingia huko, lakini hawataweza. 25 Mtu anapoufunga mlango wa nyumba yake, unaweza ukasimama nje na kubisha mlangoni, lakini hataufungua. Mnaweza kusema, ‘Mkuu tufungulie mlango!’ Lakini yeye akawajibu, ‘Siwajui ninyi na mnakotoka sikujui.’ 26 Ndipo mtaanza kusema, ‘Tulikula na kunywa pamoja nawe. Ulifundisha katika mitaa ya mji wetu.’ 27 Kisha atawaambia, ‘Siwajui na sijui mlikotoka! Ondokeni kwangu! Ninyi nyote ni watu mnaotenda maovu!’

28 Mtamwona Ibrahimu, Isaka, Yakobo na manabii wote wakiwa katika ufalme wa Mungu. Lakini ninyi wenyewe mtatupwa nje. Hapo mtalia na kusaga meno yenu kwa uchungu. 29 Watu watakuja kutoka mashariki, magharibi, kaskazini na kusini. Watakaa kuizunguka meza ya chakula katika ufalme wa Mungu. 30 Zingatieni kwamba wako walio wa mwisho watakaokuwa wa kwanza, na wa kwanza watakaokuwa wa mwisho.”

Yesu Atakufa Yerusalemu

(Mt 23:37-39)

31 Wakati huo huo baadhi ya Mafarisayo wakaja kwa Yesu, na wakamwambia, “Ondoka hapa, nenda ukajifiche. Kwa sababu Herode anataka kukuua!”

32 Lakini Yesu akawaambia, “Nendeni, mkamwambie yule mbweha,[c] ‘Leo na kesho ninatoa pepo wachafu na kuponya watu, na kesho kazi itakwisha.’ 33 Baada ya hilo, ni lazima niende, kwa sababu manabii wote wanapaswa kufia Yerusalemu.

34 Yerusalemu! Yerusalemu! Uwauaye manabii. Unawapiga kwa mawe watu waliotumwa na Mungu kwako. Mara ngapi nimetaka kuwasaidia watu wako! Nilitaka kuwakusanya kama kuku anavyovikusanya vifaranga vyake chini ya mbawa zake. Lakini hukuniruhusu. 35 Mungu atakuacha ukiwa. Ninawaambia, hamtaniona tena mpaka wakati ule mtakaposema, ‘Karibu! Mungu ambariki yeye ajaye katika jina la Bwana.’”(A)

Footnotes

  1. 13:16 mzaliwa halisi wa Ibrahimu Kwa maana ya kawaida, “Binti wa Ibrahimu.”
  2. 13:21 kinyunya Mchanganyiko wa unga wa ngano na maji Ulio tayari kwa ajili ya kutengeneza mikate.
  3. 13:32 mbweha Yesu alimaanisha kuwa Herode ni mjanja na mwenye hila kama mbweha.

Repent or Perish

13 There were present at that season some who told Him about the Galileans whose blood Pilate had [a]mingled with their sacrifices. And Jesus answered and said to them, “Do you suppose that these Galileans were worse sinners than all other Galileans, because they suffered such things? I tell you, no; but unless you repent you will all likewise perish. Or those eighteen on whom the tower in Siloam fell and killed them, do you think that they were worse sinners than all other men who dwelt in Jerusalem? I tell you, no; but unless you repent you will all likewise perish.”

The Parable of the Barren Fig Tree

He also spoke this parable: (A)“A certain man had a fig tree planted in his vineyard, and he came seeking fruit on it and found none. Then he said to the keeper of his vineyard, ‘Look, for three years I have come seeking fruit on this fig tree and find none. Cut it down; why does it [b]use up the ground?’ But he answered and said to him, ‘Sir, let it alone this year also, until I dig around it and fertilize it. [c]And if it bears fruit, well. But if not, after that you can (B)cut it down.’ ”

A Spirit of Infirmity

10 Now He was teaching in one of the synagogues on the Sabbath. 11 And behold, there was a woman who had a spirit of infirmity eighteen years, and was bent over and could in no way [d]raise herself up. 12 But when Jesus saw her, He called her to Him and said to her, “Woman, you are loosed from your (C)infirmity.” 13 (D)And He laid His hands on her, and immediately she was made straight, and glorified God.

14 But the ruler of the synagogue answered with indignation, because Jesus had (E)healed on the Sabbath; and he said to the crowd, (F)“There are six days on which men ought to work; therefore come and be healed on them, and (G)not on the Sabbath day.”

15 The Lord then answered him and said, [e]“Hypocrite! (H)Does not each one of you on the Sabbath loose his ox or donkey from the stall, and lead it away to water it? 16 So ought not this woman, (I)being a daughter of Abraham, whom Satan has bound—think of it—for eighteen years, be loosed from this bond on the Sabbath?” 17 And when He said these things, all His adversaries were put to shame; and all the multitude rejoiced for all the glorious things that were (J)done by Him.

The Parable of the Mustard Seed(K)

18 (L)Then He said, “What is the kingdom of God like? And to what shall I compare it? 19 It is like a mustard seed, which a man took and put in his garden; and it grew and became a [f]large tree, and the birds of the air nested in its branches.”

The Parable of the Leaven(M)

20 And again He said, “To what shall I liken the kingdom of God? 21 It is like [g]leaven, which a woman took and hid in three (N)measures[h] of meal till it was all leavened.”

The Narrow Way(O)

22 (P)And He went through the cities and villages, teaching, and journeying toward Jerusalem. 23 Then one said to Him, “Lord, are there (Q)few who are saved?”

And He said to them, 24 (R)“Strive to enter through the narrow gate, for (S)many, I say to you, will seek to enter and will not be able. 25 (T)When once the Master of the house has risen up and (U)shut the door, and you begin to stand outside and knock at the door, saying, (V)‘Lord, Lord, open for us,’ and He will answer and say to you, (W)‘I do not know you, where you are from,’ 26 then you will begin to say, ‘We ate and drank in Your presence, and You taught in our streets.’ 27 (X)But He will say, ‘I tell you I do not know you, where you are from. (Y)Depart from Me, all you workers of iniquity.’ 28 (Z)There will be weeping and gnashing of teeth, (AA)when you see Abraham and Isaac and Jacob and all the prophets in the kingdom of God, and yourselves thrust out. 29 They will come from the east and the west, from the north and the south, and sit down in the kingdom of God. 30 (AB)And indeed there are last who will be first, and there are first who will be last.”

31 [i]On that very day some Pharisees came, saying to Him, “Get out and depart from here, for Herod wants to kill You.”

32 And He said to them, “Go, tell that fox, ‘Behold, I cast out demons and perform cures today and tomorrow, and the third day (AC)I shall be [j]perfected.’ 33 Nevertheless I must journey today, tomorrow, and the day following; for it cannot be that a prophet should perish outside of Jerusalem.

Jesus Laments over Jerusalem(AD)

34 (AE)“O Jerusalem, Jerusalem, the one who kills the prophets and stones those who are sent to her! How often I wanted to gather your children together, as a hen gathers her brood under her wings, but you were not willing! 35 See! (AF)Your house is left to you desolate; and [k]assuredly, I say to you, you shall not see Me until the time comes when you say, (AG)‘Blessed is He who comes in the name of the Lord!’

Footnotes

  1. Luke 13:1 mixed
  2. Luke 13:7 waste
  3. Luke 13:9 NU And if it bears fruit after that, well. But if not, you can
  4. Luke 13:11 straighten up
  5. Luke 13:15 NU, M Hypocrites
  6. Luke 13:19 NU omits large
  7. Luke 13:21 yeast
  8. Luke 13:21 Gr. sata, same as Heb. seah; approximately 2 pecks in all
  9. Luke 13:31 NU In that very hour
  10. Luke 13:32 Resurrected
  11. Luke 13:35 NU, M omit assuredly

Repent or Perish

13 There were some present at that very time who told him about the Galileans whose blood (A)Pilate had mingled with their sacrifices. And he answered them, (B)“Do you think that these Galileans were worse sinners than all the other Galileans, because they suffered in this way? No, I tell you; but unless you (C)repent, you will all likewise perish. Or those eighteen on whom the tower in (D)Siloam fell and killed them: do you think that they were worse offenders than all the others who lived in Jerusalem? No, I tell you; but unless you (E)repent, you will all likewise perish.”

The Parable of the Barren Fig Tree

And he told this parable: “A man had (F)a fig tree planted in his vineyard, and he came seeking fruit on it and found none. And he said to the vinedresser, ‘Look, for three years now I have come seeking fruit on this fig tree, and I find none. (G)Cut it down. Why should it use up the ground?’ And he answered him, ‘Sir, let it alone this year also, until I dig around it and put on manure. Then if it should bear fruit next year, well and good; but if not, you can cut it down.’”

A Woman with a Disabling Spirit

10 Now (H)he was teaching in one of the synagogues on the Sabbath. 11 And behold, there was a woman who had had (I)a disabling spirit for eighteen years. She was bent over and could not fully straighten herself. 12 When Jesus saw her, he called her over and said to her, “Woman, you are freed from your disability.” 13 And he (J)laid his hands on her, and immediately she was made straight, and she (K)glorified God. 14 But (L)the ruler of the synagogue, indignant because Jesus (M)had healed on the Sabbath, said to the people, (N)“There are six days in which work ought to be done. Come on those days and be healed, and not on the Sabbath day.” 15 Then the Lord answered him, “You hypocrites! (O)Does not each of you on the Sabbath untie his ox or his donkey from the manger and lead it away to water it? 16 And ought not this woman, (P)a daughter of Abraham whom (Q)Satan bound for eighteen years, be loosed from this bond on the Sabbath day?” 17 As he said these things, (R)all his adversaries were put to shame, and (S)all the people rejoiced at all the glorious things that were done by him.

The Mustard Seed and the Leaven

18 (T)He said therefore, “What is the kingdom of God like? And to what shall I compare it? 19 It is like (U)a grain of mustard seed that a man took and sowed in his garden, and it grew and became a tree, and the birds of the air made nests in its branches.”

20 And again he said, “To what shall I compare the kingdom of God? 21 (V)It is like leaven that a woman took and hid in (W)three measures of flour, until it was (X)all leavened.”

The Narrow Door

22 (Y)He went on his way through towns and villages, teaching and (Z)journeying toward Jerusalem. 23 And someone said to him, “Lord, (AA)will those who are saved be few?” And he said to them, 24 (AB)“Strive (AC)to enter through the narrow door. For many, I tell you, will seek to enter and will not be able. 25 (AD)When once the master of the house has risen and shut the door, and you begin to stand outside and to knock at the door, saying, (AE)‘Lord, open to us,’ then he will answer you, (AF)‘I do not know where you come from.’ 26 Then you will begin to say, (AG)‘We ate and drank in your presence, and you taught in our streets.’ 27 But he will say, ‘I tell you, (AH)I do not know where you come from. (AI)Depart from me, all you workers of evil!’ 28 (AJ)In that place there will be weeping and gnashing of teeth, when you see (AK)Abraham and Isaac and Jacob and all the prophets in the kingdom of God but (AL)you yourselves cast out. 29 And (AM)people will come from east and west, and from north and south, and (AN)recline at table in the kingdom of God. 30 And behold, (AO)some are last who will be first, and some are first who will be last.”

Lament over Jerusalem

31 At that very hour some Pharisees came and said to him, “Get away from (AP)here, for (AQ)Herod wants to kill you.” 32 And he said to them, “Go and tell that fox, ‘Behold, I cast out demons and perform cures today and tomorrow, and the third day (AR)I finish my course. 33 Nevertheless, (AS)I (AT)must go on my way today and tomorrow and the day following, for it cannot be that (AU)a prophet should perish away from Jerusalem.’ 34 (AV)O Jerusalem, Jerusalem, the city that (AW)kills the prophets and stones those who are sent to it! (AX)How often would I have (AY)gathered (AZ)your children together (BA)as a hen gathers her brood (BB)under her wings, and (BC)you were not willing! 35 Behold, (BD)your house is forsaken. And I tell you, you will not see me until you say, (BE)‘Blessed is he who comes in the name of the Lord!’”