Add parallel Print Page Options

Yesu Afundisha Kuhusu Maombi

(Mt 6:9-15)

11 Siku moja Yesu alitoka akaenda mahali fulani kuomba. Alipomaliza, mmoja wa wafuasi wake akamwambia, “Yohana aliwafundisha wafuasi wake namna ya kuomba. Bwana, tufundishe nasi pia.”

Yesu akawaambia wafuasi wake, “Hivi ndivyo mnapaswa kuomba:

‘Baba yetu uliye mbinguni, jina lako litukuzwe daima.
    Tunaomba Ufalme wako uje.
Utupe chakula tunachohitaji kila siku.
Utusamehe dhambi zetu,
    kama tunavyomsamehe kila mtu anayetukosea.
Na usiruhusu tukajaribiwa.’”

Mwombeni Mungu Kile Mnachohitaji

(Mt 7:7-11)

5-6 Kisha Yesu akawaambia, “Chukulia mmoja wenu angekwenda kwa rafiki yake usiku na kumwambia, ‘Rafiki yangu aliyekuja mjini amekuja kunitembelea. Lakini sina chakula cha kumpa ili ale. Tafadhali nipe mikate mitatu.’ Rafiki yako ndani ya nyumba akajibu, ‘Nenda zako! Usinisumbue! Mlango umefungwa. Mimi na watoto wangu tumeshapanda kitandani kulala. Siwezi kuamka ili nikupe kitu chochote kwa sasa.’ Ninawaambia, urafiki unaweza usimfanye aamke akupe kitu chochote. Lakini hakika ataamka ili akupe unachohitaji ikiwa utaendelea kumwomba. Hivyo ninawaambia, Endeleeni kuomba na Mungu atawapa. Endeleeni kutafuta na mtapata. Endeleeni kubisha milangoni, na milango itafunguliwa kwa ajili yenu. 10 Ndiyo, kila atakayeendelea kuomba atapokea. Kila atakayeendelea kutafuta atapata. Na kila atakayeendelea kubisha mlangoni, mlango utafunguliwa kwa ajili yake. 11 Je, kuna mmoja wenu aliye na mwana? Utafanya nini ikiwa mwanao atakuomba samaki? Je, kuna baba yeyote anayeweza kumpa nyoka? 12 Au akiomba yai, utampa nge? Hakika hakuna baba wa namna hivyo. 13 Ikiwa ninyi waovu mnajua namna ya kuwapa watoto wenu vitu vizuri. Vivyo hivo, hakika Baba yenu aliye mbinguni anajua namna ya kuwapa Roho Mtakatifu wale wanao mwomba?”

Nguvu ya Yesu Inatoka kwa Mungu

(Mt 12:22-30; Mk 3:20-27)

14 Wakati mmoja Yesu alikuwa akitoa pepo aliyemfanya mtu ashindwe kuzungumza. Ikawa, pepo alipotoka, yule mtu akaanza kuongea, umati wa watu walishangaa. 15 Lakini baadhi ya watu walisema, “Anatumia nguvu za Shetani kuwatoa pepo. Shetani[a] ni mtawala wa pepo wachafu.”

16 Baadhi ya watu wengine waliokuwa pale walitaka kumjaribu Yesu, walimwomba afanye muujiza kama ishara kutoka kwa Mungu. 17 Lakini alijua walichokuwa wanafikiria, hivyo akawaambia, “Kila ufalme unaopigana wenyewe huteketezwa; na familia yenye magomvi husambaratika. 18 Hivyo, ikiwa Shetani anapigana yeye mwenyewe, ufalme wake utasimamaje? Ninawauliza hivi kwa kuwa mnasema kwamba ninatoa pepo kwa kutumia nguvu za Shetani. 19 Lakini ikiwa ninatoa pepo kwa kutumia nguvu za Shetani, watu wenu wanatumia nguvu gani wanapotoa pepo? Hivyo watu wenu wenyewe watathibitisha kuwa ninyi ni waovu. 20 Lakini, ninatumia nguvu za Mungu kutoa pepo. Hii inaonesha kuwa Ufalme wa Mungu umekuja kwenu sasa.

21 Mwenye nguvu aliye na silaha nyingi anapoilinda nyumba yake, vitu vilivyomo ndani ya nyumba yake huwa salama. 22 Lakini chukulia kuwa mwenye nguvu zaidi kuliko yeye akimshambulia na kumshinda, yule mwenye nguvu zaidi humnyang'anya silaha zake zote alizokuwa akizitegemea kuilinda nyumba yake. Ndipo mwenye nguvu zaidi atavitumia vitu vya yule mtu wa kwanza kadri anavyotaka.

23 Mtu yeyote asiye pamoja nami, yuko kinyume nami. Na mtu yeyote asiyefanya kazi pamoja nami anafanya kinyume nami.

Hatari ya Kuwa Mtupu

(Mt 12:43-45)

24 Mtu anapotokwa na roho chafu, roho hiyo husafiri sehemu zilizo kavu, ikitafuta mahali ili ipumzike. Lakini hukosa mahali pa kupumzika. Hivyo husema, ‘Nitarudi kwenye nyumba nilikotoka.’ 25 Inaporudi hukuta nyumba imesafishwa na kupangwa vizuri. 26 Ndipo roho hiyo chafu huenda ikachukua roho wengine saba, walio waovu kuliko yenyewe. Na kwa pamoja roho zote hizo huingia na kuishi ndani ya mtu huyo, na mtu huyo hupata matatizo mengi kuliko ya kwanza.”

Watu Wanaobarikiwa na Mungu

27 Yesu alipokuwa akisema mambo haya, mwanamke mmoja katika kundi la watu akapaza sauti akamwambia “Amebarikiwa na Mungu mwanamke aliyekuzaa na kukunyonyesha!”

28 Lakini Yesu akasema, “Wamebarikiwa zaidi wanaosikia na kuyatii mafundisho ya Mungu.”

Baadhi ya Watu Wawa na Mashaka na Mamlaka ya Yesu

(Mt 12:38-42; Mk 8:12)

29 Baada ya kundi la watu kuongezeka na kumzunguka, Yesu alisema, “Ninyi watu mnaoishi sasa ni waovu. Mnaomba muujiza kama ishara kutoka kwa Mungu. Lakini hakuna muujiza utakaofanyika ili kuwathibitishia jambo lolote. Ishara pekee mtakayopata ni kile kilichompata Yona.[b] 30 Yona alikuwa ishara kwa watu walioishi katika mji wa Ninawi. Ni sawasawa na Mwana wa Adamu atakavyokuwa ishara kwa watu wa wakati huu.

31 Siku ya hukumu, ninyi watu mnaoishi sasa, mtalinganishwa na Malkia wa Kusini,[c] naye pia, atakuwa shahidi atakayeonyesha namna mlivyo waovu. Kwa nini ninasema haya? Kwa sababu alisafiri kutoka mbali, mbali sana ili ayasikilize mafundisho yenye hekima ya Suleimani. Na ninawaambia mkuu[d] kuliko Suleimani yupo hapa, lakini hamnisikilizi!

32 Siku ya hukumu, ninyi watu mnaoishi sasa mtafananishwa pia na watu wa Ninawi, nao watakuwa mashahidi watakaoonyesha makosa yenu. Ninasema hivi kwa sababu Yona alipowahubiri, walibadili mioyo na maisha yao. Na sasa mnamsikia mtu aliye mkuu kuliko Yona, Lakini hamtaki kubadilika!

Iweni Mwanga kwa Ajili ya Ulimwengu

(Mt 5:15; 6:22-23)

33 Hakuna mtu anayechukua taa na kuiweka mahali palipofichika au kuifunika. Badala yake huiweka mahali palipo wazi, ili wanaoingia ndani waweze kuiona nuru yake. 34 Namna unavyowatazama watu inaonesha kwa hakika jinsi ulivyo. Unapowatazama watu katika hali isiyo ya ubinafsi, inaonesha wazi kuwa umejaa nuru. Lakini unapowatazama watu katika namna ya uchoyo, ni wazi kuwa umejaa giza.[e] 35 Hivyo iweni waangalifu ili nuru iliyo ndani yenu usiwe giza! 36 Ikiwa umejaa nuru na hakuna sehemu yenye giza ndani yako, basi utang'aa, kama nuru ya kwenye taa.”

Yesu Awakosoa Viongozi wa Kidini

(Mt 23:1-36; Mk 12:38-40; Lk 20:45-47)

37 Baada ya Yesu kumaliza kuzungumza, Farisayo mmoja alimwalika Yesu kula pamoja naye. Hivyo Yesu alikwenda na kuketi sehemu ya kulia chakula. 38 Lakini Farisayo alishangaa alipoona Yesu hakunawa[f] mikono yake kwanza kabla ya kuanza kula. 39 Bwana akamwambia, “Usafi mnaoufanya ninyi Mafarisayo ni kama kusafisha kikombe au sahani kwa nje tu. Lakini ndani yenu mna nini? Mnataka kuwadanganya na kuwaumiza watu tu. 40 Ninyi ni wajinga! Aliyeumba kilicho nje ndiye aliumba kilicho ndani. 41 Hivyo, jalini vilivyo ndani. Wapeni vitu wenye uhitaji. Ndipo mtakuwa wasafi kikamilifu.

42 Lakini, ole wenu ninyi Mafarisayo! Mnampa Mungu sehemu ya kumi ya vyakula mnavyopata, hata mnanaa, na hata kila mmea mdogo katika bustani[g] zenu. Lakini mnapuuzia kuwatendea haki wengine na kumpenda Mungu. Haya ni mambo mnayotakiwa kufanya. Na endeleeni kufanya mambo hayo mengine.

43 Ole wenu ninyi Mafarisayo, kwa sababu mnapenda kupata viti vya heshima katika masinagogi. Na mnapenda kusalimiwa na watu kwa kuheshimiwa sehemu za masoko. 44 Ole wenu, kwa kuwa mnafanana na makaburi ya zamani yasiyoonekana, ambayo watu hupita juu yake na kuyakanyaga bila kuyatambua.”

45 Mmoja wa wanasheria akamwambia Yesu, “Mwalimu, unaposema mambo haya kuhusu Mafarisayo unatukosoa hata sisi pia.”

46 Yesu akamjibu, “Ole wenu, enyi wanasheria! Mnatunga sheria kali ambazo ni vigumu watu kuzitii.[h] Mnawalazimisha wengine kuzitii sheria zenu. Lakini ninyi wenyewe hamthubutu hata kujaribu kufuata mojawapo ya sheria hizo. 47 Ole wenu kwa kuwa mnajenga makaburi ya manabii. Lakini hawa ni manabii wale wale ambao mababu zenu waliwaua. 48 Na sasa mnawaonesha watu wote kwamba mnakubaliana na mambo ambayo baba zenu walifanya. Waliwaua manabii, nanyi mnasherehekea mauaji hayo kwa kujenga makaburi ya manabii! 49 Hii ndiyo sababu ambayo kwa Hekima yake Mungu alisema, ‘Nitawatuma manabii na mitume[i] kwao. Baadhi ya manabii na mitume wangu watauawa na watu waovu. Wengine watateswa sana.’

50 Hivyo ninyi watu mnaoishi sasa mtaadhibiwa kwa sababu ya vifo vya manabii wote waliouawa tangu mwanzo wa ulimwengu. 51 Mtachukuliwa wenye hatia kutokana na vifo hivyo vyote, tangu kuuawa kwa Habili mpaka kuuawa kwa nabii Zakaria,[j] aliyeuawa kati ya madhabahu na Hekalu. Ndiyo ninawaambia, kizazi hiki kitaadhibiwa kwa sababu yao wote.

52 Ole wenu, ninyi wanasheria, mmechukua ufunguo wa kujifunza kuhusu Mungu. Ninyi wenyewe hamtaki kujifunza na mmewazuia wengine wasijifunze pia.”

53 Yesu alipotoka humo, walimu wa sheria na Mafarisayo walianza kumpinga sana. Walianza kumjaribu ili awajibu maswali kuhusu mambo mengi, 54 ili Yesu akisema jambo isivyo sahihi waweze kupata sababu ya kumkosoa.

Footnotes

  1. 11:15 Shetani Jina la Mwovu lenye maana “Adui”. Kwa maana ya kawaida, “Beelzebuli” kwa Kiyunani (mwovu). Pia katika mstari wa 18,19.
  2. 11:29 Yona Nabii katika Agano la Kale. Baada ya siku tatu akiwa katika tumbo la samaki, alitoka akiwa hai. Kisha alikwenda katika mji uliojaa uovu, mji wa Ninawi ili kuwapa watu maonyo ya Mungu.
  3. 11:31 Malkia wa Kusini Au “Malkia wa Sheba.” Alisafiri kama maili 1,000 (kilomita 1,600) ili kujifunza hekima ya Mungu kutoka kwa Sulemani. Tazama 1 Fal 10:1-13.
  4. 11:31 mkuu Kwa maana ya kawaida, “mtu mkuu zaidi”. Pia katika mstari wa 32.
  5. 11:34 Kwa maana ya kawaida, “Taa ya mwili ni jicho lako. Unapowatazama watu bila kuwa na kinyongo, mwili wako wote unakuwa umejaa nuru. Lakini ikiwa jicho lako ni la uovu, mwili wako una giza.”
  6. 11:38 hakunawa Hakunawa kwa maana ya kuwa kunawa mikono au kuoga mwili wote ilikuwa desturi ya dini ya Kiyahudi na Mafarisayo waliipa desturi hii umuhimu mkubwa.
  7. 11:42 Mnampa … bustani Kwa maana ya kawaida, “Mnatoa zaka za mnanaa, mchicha na kila aina ya mboga mboga.” Sheria ya Musa iliwataka Waisraeli kushirikiana chakula kwa kutenga sehemu ya kumi ya mazao na mifugo yao kwa ajili ya Mungu (tazama Law 27:30-32; Kum 26:12). Hii haikujumuisha mazao madogo ya bustani kama yaliyotajwa hapa. Hivyo Mafarisayo hawa walikuwa wanatoa zaidi ya inavyotakiwa ili kuhakikisha kuwa hawavunji sheria.
  8. 11:46 Mnatunga sheria kali … watu kuzitii Kwa maana ya kawaida, “Mnawatwisha watu mizigo wasiyoweza kuibeba.”
  9. 11:49 manabii na mitume Watu waliochaguliwa na Mungu kuhubiri Habari Njema ulimwenguni.
  10. 11:51 Habili … Zakaria Katika Agano la Kale la Kiebrania, hawa ni watu wa kwanza na wa mwisho kuuawa. Tazama Mwa 4:8-11 na 2 Nya 24:20-25.

11 And it came to pass, that, as he was praying in a certain place, when he ceased, one of his disciples said unto him, Lord, teach us to pray, as John also taught his disciples.

And he said unto them, When ye pray, say, Our Father which art in heaven, Hallowed be thy name. Thy kingdom come. Thy will be done, as in heaven, so in earth.

Give us day by day our daily bread.

And forgive us our sins; for we also forgive every one that is indebted to us. And lead us not into temptation; but deliver us from evil.

And he said unto them, Which of you shall have a friend, and shall go unto him at midnight, and say unto him, Friend, lend me three loaves;

For a friend of mine in his journey is come to me, and I have nothing to set before him?

And he from within shall answer and say, Trouble me not: the door is now shut, and my children are with me in bed; I cannot rise and give thee.

I say unto you, Though he will not rise and give him, because he is his friend, yet because of his importunity he will rise and give him as many as he needeth.

And I say unto you, Ask, and it shall be given you; seek, and ye shall find; knock, and it shall be opened unto you.

10 For every one that asketh receiveth; and he that seeketh findeth; and to him that knocketh it shall be opened.

11 If a son shall ask bread of any of you that is a father, will he give him a stone? or if he ask a fish, will he for a fish give him a serpent?

12 Or if he shall ask an egg, will he offer him a scorpion?

13 If ye then, being evil, know how to give good gifts unto your children: how much more shall your heavenly Father give the Holy Spirit to them that ask him?

14 And he was casting out a devil, and it was dumb. And it came to pass, when the devil was gone out, the dumb spake; and the people wondered.

15 But some of them said, He casteth out devils through Beelzebub the chief of the devils.

16 And others, tempting him, sought of him a sign from heaven.

17 But he, knowing their thoughts, said unto them, Every kingdom divided against itself is brought to desolation; and a house divided against a house falleth.

18 If Satan also be divided against himself, how shall his kingdom stand? because ye say that I cast out devils through Beelzebub.

19 And if I by Beelzebub cast out devils, by whom do your sons cast them out? therefore shall they be your judges.

20 But if I with the finger of God cast out devils, no doubt the kingdom of God is come upon you.

21 When a strong man armed keepeth his palace, his goods are in peace:

22 But when a stronger than he shall come upon him, and overcome him, he taketh from him all his armour wherein he trusted, and divideth his spoils.

23 He that is not with me is against me: and he that gathereth not with me scattereth.

24 When the unclean spirit is gone out of a man, he walketh through dry places, seeking rest; and finding none, he saith, I will return unto my house whence I came out.

25 And when he cometh, he findeth it swept and garnished.

26 Then goeth he, and taketh to him seven other spirits more wicked than himself; and they enter in, and dwell there: and the last state of that man is worse than the first.

27 And it came to pass, as he spake these things, a certain woman of the company lifted up her voice, and said unto him, Blessed is the womb that bare thee, and the paps which thou hast sucked.

28 But he said, Yea rather, blessed are they that hear the word of God, and keep it.

29 And when the people were gathered thick together, he began to say, This is an evil generation: they seek a sign; and there shall no sign be given it, but the sign of Jonas the prophet.

30 For as Jonas was a sign unto the Ninevites, so shall also the Son of man be to this generation.

31 The queen of the south shall rise up in the judgment with the men of this generation, and condemn them: for she came from the utmost parts of the earth to hear the wisdom of Solomon; and, behold, a greater than Solomon is here.

32 The men of Nineve shall rise up in the judgment with this generation, and shall condemn it: for they repented at the preaching of Jonas; and, behold, a greater than Jonas is here.

33 No man, when he hath lighted a candle, putteth it in a secret place, neither under a bushel, but on a candlestick, that they which come in may see the light.

34 The light of the body is the eye: therefore when thine eye is single, thy whole body also is full of light; but when thine eye is evil, thy body also is full of darkness.

35 Take heed therefore that the light which is in thee be not darkness.

36 If thy whole body therefore be full of light, having no part dark, the whole shall be full of light, as when the bright shining of a candle doth give thee light.

37 And as he spake, a certain Pharisee besought him to dine with him: and he went in, and sat down to meat.

38 And when the Pharisee saw it, he marvelled that he had not first washed before dinner.

39 And the Lord said unto him, Now do ye Pharisees make clean the outside of the cup and the platter; but your inward part is full of ravening and wickedness.

40 Ye fools, did not he that made that which is without make that which is within also?

41 But rather give alms of such things as ye have; and, behold, all things are clean unto you.

42 But woe unto you, Pharisees! for ye tithe mint and rue and all manner of herbs, and pass over judgment and the love of God: these ought ye to have done, and not to leave the other undone.

43 Woe unto you, Pharisees! for ye love the uppermost seats in the synagogues, and greetings in the markets.

44 Woe unto you, scribes and Pharisees, hypocrites! for ye are as graves which appear not, and the men that walk over them are not aware of them.

45 Then answered one of the lawyers, and said unto him, Master, thus saying thou reproachest us also.

46 And he said, Woe unto you also, ye lawyers! for ye lade men with burdens grievous to be borne, and ye yourselves touch not the burdens with one of your fingers.

47 Woe unto you! for ye build the sepulchres of the prophets, and your fathers killed them.

48 Truly ye bear witness that ye allow the deeds of your fathers: for they indeed killed them, and ye build their sepulchres.

49 Therefore also said the wisdom of God, I will send them prophets and apostles, and some of them they shall slay and persecute:

50 That the blood of all the prophets, which was shed from the foundation of the world, may be required of this generation;

51 From the blood of Abel unto the blood of Zacharias which perished between the altar and the temple: verily I say unto you, It shall be required of this generation.

52 Woe unto you, lawyers! for ye have taken away the key of knowledge: ye entered not in yourselves, and them that were entering in ye hindered.

53 And as he said these things unto them, the scribes and the Pharisees began to urge him vehemently, and to provoke him to speak of many things:

54 Laying wait for him, and seeking to catch something out of his mouth, that they might accuse him.

The Model Prayer(A)

11 Now it came to pass, as He was praying in a certain place, when He ceased, that one of His disciples said to Him, “Lord, teach us to pray, as John also taught his disciples.”

So He said to them, “When you pray, say:

(B)Our[a] Father [b]in heaven,
Hallowed be Your name.
Your kingdom come.
[c]Your will be done
On earth as it is in heaven.
Give us day by day our daily bread.
And (C)forgive us our sins,
For we also forgive everyone who is indebted to us.
And do not lead us into temptation,
[d]But deliver us from the evil one.”

A Friend Comes at Midnight

And He said to them, “Which of you shall have a friend, and go to him at midnight and say to him, ‘Friend, lend me three loaves; for a friend of mine has come to me on his journey, and I have nothing to set before him’; and he will answer from within and say, ‘Do not trouble me; the door is now shut, and my children are with me in bed; I cannot rise and give to you’? I say to you, (D)though he will not rise and give to him because he is his friend, yet because of his persistence he will rise and give him as many as he needs.

Keep Asking, Seeking, Knocking(E)

(F)“So I say to you, ask, and it will be given to you; (G)seek, and you will find; knock, and it will be opened to you. 10 For everyone who asks receives, and he who seeks finds, and to him who knocks it will be opened. 11 (H)If a son asks for [e]bread from any father among you, will he give him a stone? Or if he asks for a fish, will he give him a serpent instead of a fish? 12 Or if he asks for an egg, will he offer him a scorpion? 13 If you then, being evil, know how to give (I)good gifts to your children, how much more will your heavenly Father give the Holy Spirit to those who ask Him!”

A House Divided Cannot Stand(J)

14 (K)And He was casting out a demon, and it was mute. So it was, when the demon had gone out, that the mute spoke; and the multitudes marveled. 15 But some of them said, (L)“He casts out demons by [f]Beelzebub, the ruler of the demons.”

16 Others, testing Him, (M)sought from Him a sign from heaven. 17 (N)But (O)He, knowing their thoughts, said to them: “Every kingdom divided against itself is brought to desolation, and a house divided against a house falls. 18 If Satan also is divided against himself, how will his kingdom stand? Because you say I cast out demons by Beelzebub. 19 And if I cast out demons by Beelzebub, by whom do your sons cast them out? Therefore they will be your judges. 20 But if I cast out demons (P)with the finger of God, surely the kingdom of God has come upon you. 21 (Q)When a strong man, fully armed, guards his own palace, his goods are in peace. 22 But (R)when a stronger than he comes upon him and overcomes him, he takes from him all his armor in which he trusted, and divides his [g]spoils. 23 (S)He who is not with Me is against Me, and he who does not gather with Me scatters.

An Unclean Spirit Returns(T)

24 (U)“When an unclean spirit goes out of a man, he goes through dry places, seeking rest; and finding none, he says, ‘I will return to my house from which I came.’ 25 And when he comes, he finds it swept and put in order. 26 Then he goes and takes with him seven other spirits more wicked than himself, and they enter and dwell there; and (V)the last state of that man is worse than the first.”

Keeping the Word

27 And it happened, as He spoke these things, that a certain woman from the crowd raised her voice and said to Him, (W)“Blessed is the womb that bore You, and the breasts which nursed You!”

28 But He said, (X)“More than that, blessed are those who hear the word of God and keep it!”

Seeking a Sign(Y)

29 (Z)And while the crowds were thickly gathered together, He began to say, “This is an evil generation. It seeks a (AA)sign, and no sign will be given to it except the sign of Jonah [h]the prophet. 30 For as (AB)Jonah became a sign to the Ninevites, so also the Son of Man will be to this generation. 31 (AC)The queen of the South will rise up in the judgment with the men of this generation and condemn them, for she came from the ends of the earth to hear the wisdom of Solomon; and indeed a (AD)greater than Solomon is here. 32 The men of Nineveh will rise up in the judgment with this generation and condemn it, for (AE)they repented at the preaching of Jonah; and indeed a greater than Jonah is here.

The Lamp of the Body(AF)

33 (AG)“No one, when he has lit a lamp, puts it in a secret place or under a (AH)basket, but on a lampstand, that those who come in may see the light. 34 (AI)The lamp of the body is the eye. Therefore, when your eye is [i]good, your whole body also is full of light. But when your eye is [j]bad, your body also is full of darkness. 35 Therefore take heed that the light which is in you is not darkness. 36 If then your whole body is full of light, having no part dark, the whole body will be full of light, as when the bright shining of a lamp gives you light.”

Woe to the Pharisees and Lawyers

37 And as He spoke, a certain Pharisee asked Him to dine with him. So He went in and sat down to eat. 38 (AJ)When the Pharisee saw it, he marveled that He had not first washed before dinner.

39 (AK)Then the Lord said to him, “Now you Pharisees make the outside of the cup and dish clean, but (AL)your inward part is full of [k]greed and wickedness. 40 Foolish ones! Did not (AM)He who made the outside make the inside also? 41 (AN)But rather give alms of [l]such things as you have; then indeed all things are clean to you.

42 (AO)“But woe to you Pharisees! For you tithe mint and rue and all manner of herbs, and (AP)pass by justice and the (AQ)love of God. These you ought to have done, without leaving the others undone. 43 (AR)Woe to you Pharisees! For you love the [m]best seats in the synagogues and greetings in the marketplaces. 44 (AS)Woe to you, [n]scribes and Pharisees, hypocrites! (AT)For you are like graves which are not seen, and the men who walk over them are not aware of them.

45 Then one of the lawyers answered and said to Him, “Teacher, by saying these things You reproach us also.”

46 And He said, “Woe to you also, lawyers! (AU)For you load men with burdens hard to bear, and you yourselves do not touch the burdens with one of your fingers. 47 (AV)Woe to you! For you build the tombs of the prophets, and your fathers killed them. 48 In fact, you bear witness that you approve the deeds of your fathers; for they indeed killed them, and you build their tombs. 49 Therefore the wisdom of God also said, (AW)‘I will send them prophets and apostles, and some of them they will kill and persecute,’ 50 that the blood of all the prophets which was shed from the foundation of the world may be required of this generation, 51 (AX)from the blood of Abel to (AY)the blood of Zechariah who perished between the altar and the temple. Yes, I say to you, it shall be required of this generation.

52 (AZ)“Woe to you lawyers! For you have taken away the key of knowledge. You did not enter in yourselves, and those who were entering in you hindered.”

53 [o]And as He said these things to them, the scribes and the Pharisees began to assail Him vehemently, and to cross-examine Him about many things, 54 lying in wait for Him, [p]and (BA)seeking to catch Him in something He might say, [q]that they might accuse Him.

Footnotes

  1. Luke 11:2 NU omits Our
  2. Luke 11:2 NU omits in heaven
  3. Luke 11:2 NU omits the rest of v. 2.
  4. Luke 11:4 NU omits But deliver us from the evil one
  5. Luke 11:11 NU omits bread from any father among you, will he give him a stone? Or if he asks for
  6. Luke 11:15 NU, M Beelzebul
  7. Luke 11:22 plunder
  8. Luke 11:29 NU omits the prophet
  9. Luke 11:34 Clear, or healthy
  10. Luke 11:34 Evil, or unhealthy
  11. Luke 11:39 Lit. eager grasping or robbery
  12. Luke 11:41 Or what is inside
  13. Luke 11:43 Or places of honor
  14. Luke 11:44 NU omits scribes and Pharisees, hypocrites
  15. Luke 11:53 NU And when He left there
  16. Luke 11:54 NU omits and seeking
  17. Luke 11:54 NU omits that they might accuse Him

The Lord's Prayer

11 Now Jesus[a] was praying in a certain place, and when he finished, one of his disciples said to him, “Lord, teach us to pray, (A)as John taught his disciples.” And he said to them, (B)“When you pray, say:

(C)“Father, (D)hallowed be (E)your name.
(F)Your kingdom come.
(G)Give us (H)each day our daily bread,[b]
and (I)forgive us our sins,
    for we ourselves forgive everyone who is indebted to us.
And (J)lead us not into temptation.”

And he said to them, “Which of you who has a friend will go to him at midnight and say to him, ‘Friend, lend me three loaves, for a friend of mine has arrived on a journey, and I have nothing to set before him’; and he will answer from within, ‘Do not bother me; the door is now shut, and my children are with me in bed. I cannot get up and give you anything’? I tell you, though he will not get up and give him anything (K)because he is his friend, yet because of his impudence[c] he will rise and give him whatever he needs. And I tell you, (L)ask, and (M)it will be given to you; (N)seek, and you will find; (O)knock, and it will be opened to you. 10 For everyone who asks receives, and the one who seeks finds, and to the one who knocks it will be opened. 11 What father among you, if his son asks for[d] a fish, will instead of a fish give him a serpent; 12 or if he asks for an egg, will give him a scorpion? 13 If you then, (P)who are evil, know how to give good gifts to your children, how much more will the heavenly Father (Q)give the Holy Spirit to those who ask him!”

Jesus and Beelzebul

14 (R)Now he was casting out a demon that was mute. When the demon had gone out, the mute man spoke, and the people marveled. 15 But some of them said, “He casts out demons (S)by Beelzebul, the prince of demons,” 16 while others, (T)to test him, kept seeking from him a sign from heaven. 17 (U)But he, (V)knowing their thoughts, said to them, “Every kingdom divided against itself is laid waste, and a divided household falls. 18 And if Satan also is divided against himself, how will his kingdom stand? For you say that I cast out demons by Beelzebul. 19 And if I cast out demons by Beelzebul, (W)by whom do (X)your sons cast them out? Therefore they will be your judges. 20 But if it is by (Y)the finger of God that I cast out demons, then (Z)the kingdom of God has come upon you. 21 When a strong man, fully armed, guards his own palace, his goods are safe; 22 (AA)but when one stronger than he attacks him and (AB)overcomes him, he takes away his (AC)armor in which he trusted and (AD)divides his spoil. 23 (AE)Whoever is not with me is against me, and whoever does not gather with me scatters.

Return of an Unclean Spirit

24 (AF)“When the unclean spirit has gone out of a person, it passes through (AG)waterless places seeking rest, and finding none it says, ‘I will return to my house from which I came.’ 25 And when it comes, it finds the house swept and put in order. 26 Then it goes and brings seven other spirits more evil than itself, and they enter and dwell there. And (AH)the last state of that person is worse than the first.”

True Blessedness

27 As he said these things, (AI)a woman in the crowd raised her voice and said to him, (AJ)“Blessed is the womb that bore you, and the breasts at which you nursed!” 28 But he said, (AK)“Blessed rather are those (AL)who hear the word of God and (AM)keep it!”

The Sign of Jonah

29 (AN)When the crowds were increasing, he began to say, (AO)“This generation is an evil generation. (AP)It seeks for a sign, but no sign will be given to it except the sign of Jonah. 30 For as (AQ)Jonah became a sign to the people of Nineveh, so will the Son of Man be to this generation. 31 (AR)The queen of the South will rise up at the judgment with the men of this generation and (AS)condemn them, for she came from the ends of the earth to hear the wisdom of Solomon, and behold, (AT)something greater than Solomon is here. 32 (AU)The men of Nineveh will rise up at the judgment with this generation and (AV)condemn it, for (AW)they repented at the preaching of Jonah, and behold, (AX)something greater than Jonah is here.

The Light in You

33 (AY)“No one after lighting a lamp puts it in a cellar or under a basket, but on a stand, so that those who enter may see the light. 34 Your eye is (AZ)the lamp of your body. When your eye is healthy, your whole body is full of light, but when it is (BA)bad, your body is full of darkness. 35 (BB)Therefore be careful lest the light in you be darkness. 36 If then your whole body is full of light, having no part dark, it will be wholly bright, (BC)as when a lamp with its rays gives you light.”

Woes to the Pharisees and Lawyers

37 While Jesus[e] was speaking, (BD)a Pharisee asked him to dine with him, so he went in and reclined at table. 38 The Pharisee was astonished to see (BE)that he did not first wash before dinner. 39 And the Lord said to him, (BF)“Now you Pharisees cleanse the outside of the cup and of the dish, but inside you are full of (BG)greed and wickedness. 40 (BH)You fools! (BI)Did not he who made the outside make the inside also? 41 But (BJ)give as alms those things that are within, and behold, (BK)everything is clean for you.

42 (BL)“But woe to you Pharisees! For (BM)you tithe mint and rue and every herb, and neglect (BN)justice and (BO)the love of God. (BP)These you ought to have done, without neglecting the others. 43 Woe to you Pharisees! For (BQ)you love the best seat in the synagogues and greetings in the marketplaces. 44 Woe to you! (BR)For you are like unmarked graves, and people walk over them without knowing it.”

45 One of (BS)the lawyers answered him, “Teacher, in saying these things you insult us also.” 46 And he said, “Woe to you (BT)lawyers also! For (BU)you load people with burdens hard to bear, and you yourselves do not touch the burdens with one of your fingers. 47 (BV)Woe to you! For you build the tombs of the prophets whom your fathers killed. 48 (BW)So you are witnesses and you (BX)consent to the deeds of (BY)your fathers, for they killed them, and you build their tombs. 49 Therefore also (BZ)the Wisdom of God said, (CA)‘I will send them (CB)prophets and apostles, (CC)some of whom they will (CD)kill and persecute,’ 50 so that (CE)the blood of all the prophets, shed (CF)from the foundation of the world, may be (CG)charged against this generation, 51 from the blood of (CH)Abel to the blood of (CI)Zechariah, who perished between (CJ)the altar and the sanctuary. Yes, I tell you, it will be (CK)required of this generation. 52 Woe to you (CL)lawyers! (CM)For you have taken away the key of (CN)knowledge. You (CO)did not enter yourselves, and you hindered those who were entering.”

53 As he went away from there, the scribes and the Pharisees began to press him hard and to provoke him to speak about many things, 54 (CP)lying in wait for him, (CQ)to catch him in something he might say.

Footnotes

  1. Luke 11:1 Greek he
  2. Luke 11:3 Or our bread for tomorrow
  3. Luke 11:8 Or persistence
  4. Luke 11:11 Some manuscripts insert bread, will give him a stone; or if he asks for
  5. Luke 11:37 Greek he