Lucas 9
Ang Pulong Sang Dios
Ginpadala ni Jesus ang Iya Dose ka Apostoles(A)
9 Sang isa ka adlaw gintipon ni Jesus ang dose niya ka apostoles. Ginhatagan niya sila sang awtoridad kag gahom sa pagtabog sang tanan nga malaot nga mga espiritu kag sa pagpang-ayo sang mga balatian. 2 Dayon ginsugo niya sila nga magpangwali parte sa paghari sang Dios kag magpang-ayo sang mga masakiton. 3 Ginsilingan niya sila, “Indi kamo magbalon sang bisan ano sa inyo pagpanglakaton: bisan baston, bag, pagkaon, kuwarta, ukon ilislan nga bayo. 4 Kon padayunon kamo sa isa ka balay, dira gid lang kamo magdayon hasta maghalin kamo sa sina nga lugar. 5 Pero kon ang mga tawo sa isa ka lugar indi magbaton sa inyo, bayai ninyo ina nga lugar; kag sa paghalin ninyo, taktaka ninyo ang yab-ok sa inyo tiil bilang paandam kontra sa ila.” 6 Dayon naglakat ang iya mga apostoles kag naglibot sa mga baryo nga nagawali sang Maayong Balita kag nagapang-ayo sang mga masakiton.
Naglibog ang Ulo ni Herodes Parte kay Jesus(B)
7 Ang balita parte sa ginahimo nila ni Jesus nakaabot kay Herodes nga pangulo sang Galilea. Naglibog gid ang ulo ni Herodes kay may mga tawo nga nagasiling, “Nabanhaw si Juan nga manugbautiso.” 8 May iban man nga nagasiling, “Siya si Propeta Elias sang una nga nag-abot subong.” Kag may iban pa gid nga nagasiling, “Nabanhaw ang isa sa mga propeta.” 9 Nagsiling si Herodes, “Ginpapugutan ko sing ulo si Juan. Pero sin-o ayhan ini nga tawo? Kay makatilingala nga mga butang ang akon nabatian parte sa iya.” Gani nagtinguha gid si Herodes nga makita niya si Jesus.
Ginpakaon ni Jesus ang 5,000 ka Tawo(C)
10 Pagbalik sang mga apostoles ni Jesus, ginsugid nila sa iya kon ano ang ila mga nahimo. Dayon gindala sila ni Jesus sa banwa sang Betsaida. Wala siya sing may ginpaupod nga iban. 11 Pero pagkahibalo sang mga tawo nga nakahalin na sila ni Jesus, nagsunod sila. Pag-abot nila didto, ginbaton sila ni Jesus kag ginhambalan parte sa paghari sang Dios. Kag ginpang-ayo man niya ang mga masakiton.
12 Sang lapit na lang magsalop ang adlaw, nagpalapit sa iya ang iya dose ka apostoles kag nagsiling, “Palakta na ang mga tawo sa mga baryo kag sa mga sityo sa palibot agod makapangita sila sang ila pagkaon kag tululugan, kay ari kita diri sa kamingawan.” 13 Pero nagsiling si Jesus, “Kamo mismo ang maghatag sang pagkaon sa ila.” Nagsabat sila, “Lima gid lang ka bilog ang aton tinapay kag duha ka isda. Indi ini makaigo, luwas kon magbakal kita sang pagkaon para sa ila tanan.” 14 (Ang kadamuon sang mga lalaki lang mga 5,000.) Gani nagsiling si Jesus sa iya mga sumulunod, “Papungkua ninyo ang mga tawo sing grupo-grupo, tag-50 kada grupo.” 15 Gintuman nila ang sugo ni Jesus kag ginpapungko nila ang tanan nga tawo. 16 Dayon ginkuha ni Jesus ang lima ka tinapay kag duha ka isda, kag nagtangla siya sa langit kag nagpasalamat sa Dios. Pagkatapos ginpamihak-pihak niya ang tinapay kag ginhatag sa iya mga sumulunod agod ipanagtag sa mga tawo. 17 Nakakaon sila tanan kag nagkalabusog. Pagkatapos kaon, gintipon nila ang mga nabilin, kag dose pa ka alat ang napuno.
Ang Ginpabutyag ni Pedro Parte kay Jesus(D)
18 Isa ka adlaw nagapangamuyo si Jesus nga siya lang. Ang iya mga sumulunod ara sa iya tupad. Nagpamangkot si Jesus sa ila, “Suno sa mga tawo, sin-o bala ako?” 19 Nagsabat sila, “May nagasiling nga ikaw si Juan nga manugbautiso. Ang iban nagasiling nga ikaw si Elias, kag ang iban pa gid nagasiling nga ikaw isa sa mga propeta sang una nga nabanhaw.” 20 Nagsiling si Jesus sa ila, “Pero suno sa inyo sin-o bala ako?” Nagsabat si Pedro, “Ikaw ang Cristo nga ginpromisa sang Dios nga magahari.”
Naghambal si Jesus Parte sa Iya Palaabuton nga Pag-antos kag Kamatayon(E)
21 Dayon ginmanduan sila ni Jesus nga indi gid sila magpanugid bisan kay sin-o nga siya amo ang Cristo. 22 Nagsiling siya, “Ako nga Anak sang Tawo kinahanglan gid nga mag-antos sa pagahimuon sa akon sang mga manugdumala sang mga Judio, sang manugdumala nga mga pari, kag sang mga manunudlo sang Kasuguan. Sikwayon nila ako kag patyon, pero sa ikatlo nga adlaw mabanhaw ako.”
23 Dayon nagsiling si Jesus sa tanan nga tawo didto, “Kon may tawo nga gusto magsunod sa akon, indi niya dapat pagpasulabihon ang iya kaugalingon. Kag dapat handa siya sa pag-atubang sa kamatayon[a] sa iya nga pagsunod sa akon adlaw-adlaw. 24 Kay ang bisan sin-o nga luyag magluwas sang iya kabuhi madula niya ini. Pero ang bisan sin-o nga maghalad sang iya kabuhi tungod sa akon makaangkon sang kabuhi nga wala sing katapusan. 25 Ano gid bala ang makuha sang tawo kon maangkon niya ang tanan nga butang diri sa kalibutan, pero mawala ang iya kabuhi? Wala gid! 26 Kay ang bisan sin-o nga nagakahuya sa akon kag sa akon mga ginatudlo, igakahuya ko man kon ako nga Anak sang Tawo magbalik na nga nagasilak sa gahom nga halin sa akon kag sa Amay kag sa mga anghel. 27 Sa pagkamatuod, may mga tawo diri nga indi pa mapatay hasta makita nila ang paghari sang Dios.”
Ang Pagbalhin sang Dagway ni Jesus(F)
28 Mga walo ka adlaw pagkatapos nga ginhambal ni Jesus ini, gindala niya si Pedro, si Juan, kag si Santiago pataklad sa bukid agod magpangamuyo. 29 Sang nagapangamuyo si Jesus nagbalhin ang iya dagway, kag ang iya bayo nagputi gid kag masilaw. 30 Hinali lang may nagpakita nga duha ka tawo nga nagapakighambal sa iya. Sila amo si Moises kag si Elias. 31 Nagasilak man sila kag nagapakighambal sila kay Jesus parte sa iya kamatayon nga madali na lang matuman sa Jerusalem. 32 Nagakatulog sila ni Pedro sing mahamuok. Pero nakamata sila, kag nakita nila si Jesus nga nagasilak kag ang duha ka tawo nga nagatindog sa iya tupad. 33 Sang manughalin na ang duha ka tawo kay Jesus, nagsiling si Pedro sa iya, “Manunudlo,[b] maayo nga ari kami[c] diri. Mahimo kami sing tatlo ka payag, ang isa para sa imo, ang isa para kay Moises, kag ang isa para kay Elias.” (Ang matuod, wala nakahibalo si Pedro kon ano ang iya ginahambal.) 34 Wala pa makatapos hambal si Pedro ginlikupan sila sang panganod. Hinadlukan sila ni Pedro sang magtabon sa ila ang panganod. 35 Dayon may nabatian sila nga tingog halin sa panganod nga nagasiling, “Amo ini ang akon pinili nga Anak. Pamatii ninyo siya!” 36 Sang nag-untat na ang tingog, nakita nila nga si Jesus na lang ang nabilin. Ginhipsan lang anay nila ni Pedro ang ila nakita pagkasunod nga mga inadlaw.
Gin-ayo ni Jesus ang Bata nga May Malaot nga Espiritu(G)
37 Sang madason nga adlaw, nagdulhog sila halin sa bukid. Madamo nga mga tawo ang nagsugata kay Jesus. 38 Didto sa kadam-an may isa ka tawo nga nagsinggit, “Manunudlo, kon mahimo tan-awa anay ang akon bugtong nga bata nga lalaki. 39 Permi siya ginasudlan sang malaot nga espiritu. Kon mag-abot gani, gulpi lang siya nagasiagit, nagakurog, kag nagabura ang iya baba. Indi maghalin sa iya ang malaot nga espiritu kon indi niya anay masakit sing tudo gid ang akon bata. 40 Ginpangabay ko ang imo mga sumulunod nga tabugon ini, pero indi sila makasarang.” 41 Dayon nagsiling si Jesus, “Kamo nga mga tawo sa sini nga henerasyon wala gid sing pagtuo kag mga balingag. Hasta san-o pa bala ang akon pag-antos sa inyo? Dal-a diri ang imo bata.” 42 Sang nagapalapit kay Jesus ang bata, ginlampos siya sang malaot nga espiritu sa duta kag ginpakurog. Pero gintabog ni Jesus ang malaot nga espiritu kag gin-ayo niya ang bata. Dayon ginbalik niya siya sa iya amay. 43 Natingala gid ang tanan nga tawo sa dako nga gahom sang Dios.
Naghambal Liwat si Jesus Parte sa Iya Kamatayon(H)
Sang nagakatingala pa ang mga tawo sa tanan nga ginhimo ni Jesus, nagsiling siya sa iya mga sumulunod, 44 “Tandaan gid ninyo ini: Ako nga Anak sang Tawo kinahanglan na[d] nga itugyan sa mga tawo nga nagakontra sa akon.” 45 Pero wala sila makaintiendi sini kay ginlipod ini sa ila hunahuna agod indi nila maintiendihan. Kag natahap sila magpamangkot sa iya parte sa sini nga butang.
Sin-o gid ang Labaw sa Tanan?(I)
46 May isa ka tion nga nagbinaisay ang iya mga sumulunod kon sin-o gid sa ila ang labaw sa tanan. 47 Pero nahibaluan ni Jesus ang ila ginahunahuna. Gani nagkuha siya sang gamay nga bata kag ginpatindog sa iya kilid. 48 Dayon nagsiling siya, “Ang bisan sin-o nga nagabaton sa bata nga pareho sini tungod sa akon,[e] nagabaton man sa akon. Kag ang nagabaton sa akon nagabaton man sa nagpadala sa akon. Kay ang labing kubos sa inyo amo ang labaw sa tanan.”
Ang Indi Kontra sa Inyo Kadampig Ninyo(J)
49 Nagsiling si Juan kay Jesus, “Manunudlo, nakakita kami sang isa ka tawo nga nagatabog sang malaot nga mga espiritu sa imo ngalan.[f] Ginpauntat namon siya kay indi naton siya kaupod.” 50 Pero nagsiling si Jesus sa iya, “Pabay-i lang ninyo siya, kay ang bisan sin-o nga wala nagakontra sa inyo nagadampig sa inyo.”
Wala Pagbatuna si Jesus sa isa ka Baryo sa Samaria
51 Sang madali na lang ang adlaw nga si Jesus dal-on pa-langit, nagdesisyon siya nga magkadto na sa Jerusalem. 52 Gani may ginpauna siya nga mga tawo sa isa ka baryo sa Samaria agod magpreparar sang iya dalayunan. 53 Pero ang mga tawo sa sadto nga baryo wala magbaton sa iya kay nahibaluan nila nga makadto siya sa Jerusalem. 54 Pagkahibalo sini sang iya mga sumulunod nga si Santiago kag si Juan, nagsiling sila kay Jesus, “Ginoo, luyag mo bala nga mangayo kami sang kalayo halin sa langit agod sunugon sila?” 55 Pero ginbalikid sila ni Jesus kag ginsaway.[g] 56 Kag nagderetso na lang sila sa iban nga baryo.
Ang mga Sumulunod ni Jesus(K)
57 Sang nagapadayon sila sa ila pagpanglakaton, may isa ka tawo nga nagsiling kay Jesus, “Maupod ako sa imo bisan diin ka makadto.” 58 Nagsiling si Jesus sa iya, “Ang maila nga mga ido[h] may mga buho nga ginapaulian kag ang mga pispis may mga pugad, pero ako nga Anak sang Tawo wala sing kaugalingon nga balay nga akon mapahuwayan.” 59 Dayon nagsiling si Jesus sa isa, “Upod ka sa akon!” Nagsabat ang tawo, “Ginoo, mapauli anay ako sa paglubong sang akon amay.”[i] 60 Nagsabat si Jesus sa iya, “Pabay-i ang mga patay[j] sa paglubong sang ila mga patay. Pero ikaw iya maglakat kag iwali ang parte sa paghari sang Dios.” 61 May isa pa gid nga nagsiling kay Jesus, “Ginoo, maupod ako sa imo; pero tuguti ako anay nga magpauli kag maglisensya sa akon pamilya.” 62 Nagsabat si Jesus sa iya, “Ang tawo nga nagaarado nga nagabulobalikid indi mapuslan ang iya pagpangalagad sa idalom sang paghari sang Dios.”[k]
Footnotes
- 9:23 dapat handa siya sa pag-atubang sa kamatayon: sa literal, dapat pas-anon niya ang iya krus. Ang krus diri nagasimbolo sang kamatayon, kay isa sa mga paagi sa pagsilot sa mga kriminal sadto nga panahon amo ang kamatayon sa krus.
- 9:33 Manunudlo: sa literal, Agalon. Amo man sa bersikulo 49.
- 9:33 kami: ukon, kita.
- 9:44 kinahanglan na: ukon, malapit na.
- 9:48 tungod sa akon: sa literal, sa akon ngalan.
- 9:49 ngalan: buot silingon, gahom ukon awtoridad.
- 9:55 Ang iban nga mga kopya sang Griego may sugpon pa sa bersikulo 55 kag 56: Wala kamo kahibalo kon ano nga klase sang espiritu ang yara sa inyo. Kay nagkari ang Anak sang Tawo indi sa paglaglag sa mga tawo kundi sa pagluwas sa ila.
- 9:58 maila nga mga ido: Sa English, foxes.
- 9:59 mapauli anay ako sa paglubong sang akon amay: Siguro ang buot silingon sang tawo, mapauli anay siya sa wala pa mapatay ang iya amay, kag kon patay na kag nalubong na, masunod siya kay Jesus.
- 9:60 mga patay: siguro ang buot silingon, mga patay sa panulok sang Dios.
- 9:62 Ang buot silingon, ang tawo nga nagaarado nga nagabulobalikid, indi mapuslan ang iya pag-arado. Pareho man sina ang tawo nga nagasunod kay Jesus nga may ginapamalikdan, indi mapuslan ang iya pag-alagad sa idalom sang paghari sang Dios.
Luka 9
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Awatuma Wanafunzi Kumi Na wawili
9 Yesu akawaita pamoja wanafunzi wake kumi na wawili na kuwapa mamlaka na uwezo wa kufukuza pepo wote na kuponya magonjwa yote. 2 Kisha akawatuma waende wakautangaze Ufalme wa Mungu na kuponya wagonjwa.
3 Akawaagiza akisema, “Msichukue cho chote safarini, wala fimbo, wala mkoba, wala chakula, wala fedha; na msichukue nguo za kubadili. 4 Mkikaribishwa katika nyumba yo yote muwe wageni wa nyumba hiyo hadi mtakapoondoka katika kijiji hicho. 5 Po pote ambapo hamtakaribishwa, mnapoondoka kung’uteni mavumbi miguuni mwenu kama ishara ya hukumu ya Mungu juu yao.”
6 Wale wanafunzi wakaondoka wakaenda kutoka kijiji hadi kijiji wakihubiri Habari Njema na kuponya wagonjwa. 7 Habari zil imfikia Herode mtawala wa Galilaya kuhusu miujiza iliyokuwa iki fanyika, naye akafadhaika kwa kuwa baadhi ya watu walikuwa wakisema, “Yohana Mbatizaji amefufuka!” 8 Wengine wakasema, “Ni Eliya ametutokea” na wengine kwamba, “Mmoja wa manabii wa kale amefufuka.” 9 Herode akasema, “Yohana nilimkata kichwa, ni nani huyu anayefanya maajabu haya ninayoambiwa?” Akajaribu sana amwone Yesu.
Yesu Awalisha Watu Elfu Tano
10 Wanafunzi waliporudi walimweleza Yesu yote waliyofanya. Akawachukua wakaenda peke yao mpaka mji mmoja uitwao Bethsaida. 11 Lakini watu wengi wakafahamu alipokwenda, wakamfuata. Akawa karibisha, akawafundisha tena kuhusu Ufalme wa mbinguni na akapo nya wangonjwa. 12 Ilipokaribia jioni, wale wanafunzi kumi na wawili wakamwambia Yesu, “Waruhusu watu hawa waondoke ili waweze kujitafutia chakula na mahali pa kulala katika vijiji na mashamba ya jirani kwa maana hapa tuko nyikani.” 13 Akawajibu, “Wapeni chakula.” Wakasema, “Tunayo mikate mitano tu na samaki wawili. Unataka tukanunue chakula cha kuwatosha watu wote hawa?” 14 Kwa kuwa walikuwapo wanaume wapatao elfu tano! Lakini Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Waketisheni katika makundi ya watu hamsini-hamsini.” 15 Wakawaketisha wote. 16 Yesu akaichukua mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama mbinguni, akavi bariki na kuvimega. Kisha akawapa wanafunzi wake wawagawie wale watu. 17 Kila mtu akala na kutosheka na vilipokusanywa vipande vilivyobaki, vilijaa vikapu kumi na viwili.
Petro Amkiri Bwana Yesu Kuwa Ndiye Kristo
18 Siku moja Yesu alipokuwa akisali faraghani akiwa na wana funzi wake aliwauliza, “Watu husema mimi ni nani?” 19 Wakam wambia, “Watu husema wewe ni Yohana Mbatizaji, wengine husema ni Eliya na wengine husema wewe ni nabii wa kale aliyefufuka kutoka kwa wafu.”
20 Kisha akawauliza, “Ninyi je, mnasema mimi ni nani?” Petro akajibu, “Wewe ndiye Kristo wa Mungu.” 21 Yesu akawaka taza wasimwambie mtu jambo hilo 22 akisema, “Imenipasa mimi Mwana wa Adamu kupata mateso mengi na kukataliwa na wazee, maku hani wakuu na walimu wa sheria. Nitauawa na siku ya tatu nitafuf uliwa.” 23 Kisha akawaambia wote, “Ye yote anayetaka kunifuata ni lazima ajikane nafsi yake, achukue msalaba wake kila siku, anifuate. 24 Kwa maana ye yote atakayeshughulikia zaidi usalama wa nafsi yake ataipoteza. Lakini ye yote atakayeipoteza nafsi yake kwa ajili yangu ataisalimisha. 25 Je, kuna faida gani kwa mtu kuupata ulimwengu mzima ambapo kwa kufanya hivyo ataipoteza nafsi yake? 26 Mtu ye yote atakayenionea aibu mimi na maneno yangu, na mimi Mwana wa Adamu nitamwonea aibu mtu huyo nitakapo kuja katika utukufu wangu na wa Baba na wa malaika watakatifu. 27 Ninawaambia kweli, baadhi ya watu waliosimama hapa hawatakufa mpaka watakapouona Ufalme wa Mungu.”
Bwana Yesu Abadilika Sura
28 Yapata siku nane baada ya kusema hayo, Yesu alikwenda kusali mlimani pamoja na Petro, Yakobo na Yohana. 29 Alipokuwa akiomba, sura yake ili badilika, mavazi yake yakawa meupe, yakimetameta na kung’aa. 30 Ghafla wakawepo watu wawili wakaanza kuzungumza naye. Walikuwa ni Musa na Eliya! 31 Nao walionekana katika utukufu wakizungumza na Yesu kuhusu kifo chake ambacho kingetokea Yerusalemu.
32 Petro na wenzake ambao walikuwa wamelala usingizi mzito waliamka wakaona utukufu wa Yesu na wale watu wawili waliokuwa wamesimama pamoja naye. 33 Musa na Eliya walipoanza kuondoka, Petro akamwambia Yesu, “Bwana ni vizuri mno kwamba tuko hapa! Tutajenga vibanda vitatu - kimoja chako, kingine cha Musa na kin gine cha Eliya.” Lakini Petro hakujua anasema nini. 34 Petro alipokuwa bado anazungumza, pakatokea wingu kubwa na kivuli chake kikawafunika, na wale wanafunzi wakashikwa na hofu lile wingu lilipowafikia. 35 Sauti ikatoka kwenye wingu ikisema, “Huyu ni Mwanangu niliyemchagua, msikilizeni yeye.” 36 Baada ya sauti hiyo kusema, alionekana Yesu peke yake. Wale wanafunzi wakakaa kimya na kwa wakati huo hawakumwambia mtu ye yote yale waliyoy aona.
37 Kesho yake aliposhuka kutoka mlimani alikutana na umati mkubwa wa watu. 38 Ghafla, mtu mmoja kati yao akapiga kelele akasema, “Mwalimu, tafadhali nakuomba umwangalie mtoto wangu, ni mwanangu wa pekee. 39 Mara kwa mara pepo humshika na kumfanya apige kelele kisha humwangusha na kumtia kifafa akatokwa na povu mdomoni. Anamtesa sana na hamwachii ila kwa shida. 40 Nimewaomba wanafunzi wako wamwondoe huyo pepo lakini wameshindwa.” 41 Yesu akajibu, “Enyi watu mliopotoka, msio na imani, nitakaa nanyi na kuwavumilia mpaka lini? Mlete mwanao hapa.”
42 Yule mtoto alipokuwa akija, yule pepo akamwangusha, akam tia kifafa. Lakini Yesu akamwamuru yule pepo amtoke. Akamponya yule mtoto akamkabidhi kwa baba yake. 43 Watu wote walishangaa walipoona huo uweza mkuu wa Mungu. Wakati watu walipokuwa wanas taajabia hayo yote aliyokuwa akiyafanya Yesu, yeye aliwaambia wanafunzi wake: 44 “ Sikilizeni kwa makini haya nitakayowaambia sasa: mimi Mwana wa Adamu nitasalitiwa na kuwekwa mikononi mwa wanadamu.” 45 Lakini wanafunzi wake hawakuyaelewa maneno hayo. Maana ya maneno hayo ilikuwa imefichwa ili wasiweze kuelewa, nao waliogopa kumwuliza.
Yesu Afundisha Kuhusu Ukubwa
46 Wanafunzi wakaanza kubishana wao kwa wao kuhusu nani kati yao alikuwa mkuu zaidi. 47 Lakini Yesu aliyatambua mawazo yao, akamsimamisha mtoto mdogo karibu naye 48 kisha akawaambia, “Ye yote atakayemkaribisha mtoto huyu mdogo kwa jina langu atakuwa amenikaribisha; na ye yote atakayenikaribisha mimi atakuwa amem karibisha yeye aliyenituma; kwa maana yeye aliye mdogo kati yenu, ndiye aliye mkubwa kuliko wote.” 49 Yohana akasema, “Bwana, tumemwona mtu akifukuza pepo kwa jina lako tukamzuia kwa maana yeye si mmoja wetu.” 50 Yesu akasema, “Msimzuie kwa sababu ye yote ambaye hapingani nanyi, yuko upande wenu.”
Yesu Akataliwa Samaria
51 Siku zake za kurudi mbinguni zilipokaribia, Yesu aliamua kwamba lazima aende Yerusalemu na akaanza safari kuelekea huko. 52 Akatuma watu wamtangulie, nao wakaenda katika kijiji kimoja cha Samaria kumwandalia kila kitu. 53 Lakini watu wa kijiji hicho walikataa kumpokea kwa sababu ilikuwa dhahiri kwamba ali kuwa anakwenda Yerusalemu. 54 Basi wanafunzi wake Yakobo na Yohana walipoona hayo, wakasema: “Bwana, unataka tuamuru moto kutoka mbinguni uwaangamize?” 55 Yesu akageuka, akawakemea. 56 Wakaenda kijiji kingine.
Gharama Ya Kumfuata Yesu
57 Walipokuwa wakienda, mtu mmoja akamwambia Yesu, “Nitakufu ata po pote utakapokwenda.” 58 Yesu akamwambia, “Mbweha wanaishi kwenye mapango yao na ndege kwenye viota vyao lakini mimi Mwana wa Adamu sina mahali pa kulala na kupumzika.”
59 Yesu alimwambia mtu mwingine, “Nifuate.” Mtu huyo akamjibu, “Bwana, niache kwanza nikamzike baba yangu.” 60 Yesu akamwam bia, “Waache wafu wawazike wafu wao. Bali wewe nenda ukautan gaze Ufalme wa Mungu.” 61 Mtu mwingine akamwambia, “Bwana nitakufuata lakini naomba kwanza nikaage jamaa yangu.” 62 Yesu akamwambia, “Mtu ye yote ashikaye jembe kuanza kulima kisha akawa anageuka kutazama nyuma, hafai kwa Ufalme wa Mungu.” Yesu Awatuma Wafuasi Sabini na Wawili
Luka 9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Awatuma Kazi Mitume Wake
(Mt 10:5-15; Mk 6:7-13)
9 Yesu aliwaita mitume wake kumi na wawili pamoja, akawapa nguvu kuponya magonjwa na kutoa pepo kwa watu. 2 Akawatuma kwenda kuhubiri kuhusu Ufalme wa Mungu na kuponya wagonjwa. 3 Akawaambia, “Mnaposafiri, msibebe kitu chochote: msichukue fimbo ya kutembelea, msibebe mkoba, chakula au fedha. Chukueni nguo mlizovaa tu kwa ajili ya safari yenu. 4 Mkiingia katika nyumba; kaeni katika nyumba hiyo mpaka mtakapokuwa mnatoka katika mji huo. 5 Ikiwa watu katika mji mtakaoingia hawatawakaribisha, nendeni nje ya mji na kuyakung'uta mavumbi miguuni mwenu kama onyo kwao.”
6 Hivyo mitume wakaondoka. Walisafiri katika miji yote. Walihubiri Habari Njema na kuponya wagonjwa kila mahali.
Herode Achanganyikiwa Kuhusu Yesu
(Mt 14:1-12; Mk 6:14-29)
7 Herode, mtawala wa Galilaya alisikia mambo yote yaliyokuwa yanatokea. Alichanganyikiwa kwa sababu baadhi ya watu walisema, “Yohana Mbatizaji amefufuka kutoka kwa wafu.” 8 Wengine walisema, “Eliya amekuja kwetu,” na baadhi ya watu wengine walisema “Mmoja wa manabii wa kale amefufuka kutoka kwa wafu”. 9 Herode alisema, “Nilimkata kichwa Yohana. Sasa, mtu huyu ninayesikia habari zake ni nani?” Herode aliendelea kutaka kumwona Yesu.
Yesu Awalisha Watu Zaidi ya 5,000
(Mt 14:13-21; Mk 6:30-44; Yh 6:1-14)
10 Mitume waliporudi, walimwambia Yesu waliyoyafanya katika safari yao. Ndipo akawachukua mpaka kwenye mji uitwao Bethsaida. Ili yeye Yesu na mitume wawe peke yao pamoja. 11 Lakini watu walipotambua mahali alikokwenda Yesu walimfuata. Aliwakaribisha na kuwaambia kuhusu ufalme wa Mungu. Na aliwaponya waliokuwa wagonjwa.
12 Baadaye nyakati za jioni. Mitume kumi na mbili walimwendea na kumwambia, “Hakuna anayeishi mahali hapa. Waage watu. Wanahitaji kutafuta chakula na mahali pa kulala katika mashamba na miji iliyo karibu na eneo hili.”
13 Lakini Yesu akawaambia mitume, “Wapeni chakula.”
Wakasema, “Tuna mikate mitano na samaki wawili tu. Unataka twende tukanunue vyakula kwa ajili ya watu wote hawa? Ni wengi mno!” 14 (Walikuwepo wanaume kama 5,000 pale.)
Yesu akawaambia wafuasi wake, “Waambieni watu wakae katika vikundi vya watu hamsini hamsini.”
15 Hivyo wafuasi wake wakafanya hivyo na kila mtu akakaa chini. 16 Ndipo Yesu akaichukua ile mikate mitano na wale samaki wawili. Akatazama juu mbinguni na kumshukuru Mungu kwa ajili ya chakula hicho. Kisha akaimega vipande vipande, akawapa wanafunzi wake ili wawape watu. 17 Watu wote wakala mpaka wakashiba. Vikasalia vikapu kumi na mbili vilivyojaa vipande vya mikate na samaki ambavyo havikuliwa.
Petro Atambua Yesu ni Nani
(Mt 16:13-19; Mk 8:27-29)
18 Wakati mmoja Yesu alikuwa anaomba akiwa peke yake. Wafuasi wake walimwendea na aliwauliza, “Watu wanasema mimi ni nani?”
19 Wakajibu, “Baadhi ya watu wanasema wewe ni Yohana Mbatizaji, wengine wanasema wewe ni Eliya, lakini wengine wanasema wewe ni mmoja wa manabii wa zamani aliyefufuka.”
20 Kisha Yesu akawauliza wafuasi wake, “Na ninyi mnasema mimi ni nani?”
Petro akajibu, “Wewe ni Masihi kutoka kwa Mungu.”
21 Yesu akawatahadharisha wasimwambie mtu yeyote.
Yesu Asema ni Lazima Afe
(Mt 16:21-28; Mk 8:31-9:1)
22 Yesu akasema, “Ni lazima Mwana wa Adamu apate mateso mengi. Nitakataliwa na viongozi wazee wa Kiyahudi, viongozi wa makuhani na walimu wa sheria. Na nitauawa. Lakini siku ya tatu nitafufuliwa kutoka kwa wafu.”
23 Kisha Yesu akamwambia kila mmoja aliyekuwa pale, “Mtu yeyote miongoni mwenu akitaka kuwa mfuasi wangu ni lazima ajikane yeye mwenyewe na mambo anayopenda. Ni lazima uubebe msalaba unaotolewa kwako kila siku kwa sababu ya kunifuata mimi. 24 Yeyote miongoni mwenu anayetaka kuyaponya maisha yake atayaangamiza. Lakini yeyote atakayeyatoa maisha yake kwa ajili yangu atayaokoa. 25 Haina thamani kwenu kuupata ulimwengu wote ikiwa ninyi wenyewe mtateketezwa au kupoteza kila kitu. 26 Msione aibu kwa sababu ya kunifuata na kusikiliza mafundisho yangu. Mkifanya hivyo, Mimi, Mwana wa Adamu, nitawaonea aibu nitakapokuja nikiwa na utukufu wangu, utukufu wa Baba na wa malaika watakatifu. 27 Niaminini ninaposema kwamba baadhi yenu ninyi mliosimama hapa mtauona Ufalme wa Mungu kabla hamjafa.”
Yesu Aonekana Akiwa na Musa na Eliya
(Mt 17:1-8; Mk 9:2-8)
28 Baada ya siku kama nane tangu Yesu aseme maneno haya, aliwachukua Petro, Yohana na Yakobo, akapanda mlimani kuomba. 29 Yesu alipokuwa akiomba, uso wake ulianza kubadilika. Nguo zake zikawa nyeupe, zikang'aa. 30 Kisha watu wawili walikuwa pale, wakiongea naye. Walikuwa Musa na Eliya; 31 Wao pia walionekana waking'aa na wenye utukufu. Walikuwa wanazungumza na Yesu kuhusu kifo chake kitakachotokea Yerusalemu. 32 Petro na wenzake walikuwa wanasinzia. Lakini waliamka na kuuona utukufu wa Yesu. Waliwaona pia watu wawili waliokuwa wamesimama pamoja naye. 33 Musa na Eliya walipokuwa wanaondoka, Petro akasema, “Mkuu, ni vizuri tuko hapa. Tutajenga vibanda vitatu hapa, kimoja kwa ajili ya kukutukuza wewe, kingine kwa ajili kumtukuza Musa na kingine wa ajili ya kumtukuza Eliya.” Petro hakujua alichokuwa anasema.
34 Petro alipokuwa akisema mambo haya, wingu likaja, likawafunika wote. Petro, Yohana na Yakobo waliogopa walipofunikwa na wingu. 35 Sauti ikatoka katika wingu na kusema, “Huyu ni Mwanangu. Ndiye niliyemchagua. Mtiini yeye.”
36 Sauti hiyo ilipomalizika, Yesu peke yake ndiye alikuwa pale. Petro, Yohana na Yakobo hawakusema chochote. Na kwa muda mrefu baada ya hilo, hawakumwambia mtu yeyote yale waliyoyaona.
Yesu Amweka Huru Mvulana Kutoka Pepo Mchafu
(Mt 17:14-18; Mk 9:14-27)
37 Siku iliyofuata, Yesu, Petro, Yohana na Yakobo walitelemka kutoka mlimani. Kundi kubwa la watu likaenda kukutana naye. 38 Mtu mmoja katika umati huo alimwita Yesu akisema, “Mwalimu, tafadhali njoo umwonee mwanangu. Ni mtoto pekee niliye naye. 39 Pepo mchafu humvaa na hupiga kelele, humtia kifafa na kumtoa povu mdomoni. Huendelea kumwumiza na hamwachi kirahisi. 40 Niliwaomba wanafunzi wako wamtoe pepo huyu mchafu lakini wameshindwa.”
41 Yesu akajibu, “Enyi watu msio na imani. Maisha yenu ni mabaya. Nitakaa na kuchukuliana nanyi mpaka lini?” Ndipo Yesu akamwambia yule mtu, “Mlete kijana wako hapa.”
42 Kijana alipokuwa anakwenda kwa Yesu, pepo mchafu akamwangusha chini na kumtia kifafa. Lakini Yesu akamwamuru atoke. Kijana akaponywa, na Yesu akampeleka kwa baba yake. 43 Watu wote wakaushangaa ukuu wa nguvu ya Mungu.
Yesu Azungumza Kuhusu Kifo Chake
(Mt 17:22-23; Mk 9:30-32)
Watu walipokuwa bado wanayashangaa mambo yote aliyofanya Yesu. Akawaambia wanafunzi wake, 44 “Msiyasahau nitakayowaambia sasa: Mwana wa Adamu yu karibu kukamatwa na kuwekwa katika mikono ya watu wengine.” 45 Lakini wanafunzi hawakuelewa alichomaanisha. Maana ilifichwa kwao ili wasitambue. Lakini waliogopa kumwuliza Yesu kuhusiana na alilosema.
Nani ni Mkuu Zaidi?
(Mt 18:1-5; Mk 9:33-37)
46 Wafuasi wa Yesu walianza kubishana wakiulizana nani ni mkuu kuliko wote miongoni mwao. 47 Yesu alijua walichokuwa wanafikiri, hivyo akamchukua mtoto mdogo na kumsimamisha karibu yake. 48 Kisha akawaambia, “Yeyote anayemkaribisha mtoto mdogo kama huyu kwa jina langu ananikaribisha mimi. Na yeyote anayenikaribisha mimi anamkaribisha yule aliyenituma. Aliye mnyenyekevu zaidi miongoni mwenu, ndiye mkuu.”
Asiye Kinyume Nanyi ni Mmoja Wenu
(Mk 9:38-40)
49 Yohana akajibu; “Bwana mkubwa, tuliona mtu anatoa pepo kutoka kwa watu akitumia jina lako. Tulimwambia aache kwa sababu hayuko katika kundi letu.”
50 Yesu akamwambia, “Msimkataze. Asiye kinyume nanyi yu pamoja nanyi.”
Katika Mji wa Samaria
51 Wakati ulikuwa unakaribia ambapo Yesu alikuwa aondoke na kurudi mbinguni. Hivyo aliamua kwenda Yerusalemu. 52 Alituma baadhi ya watu kumtangulia. Waliondoka na kwenda katika mji mmoja wa Samaria, ili kumwandalia mahali pa kufikia. 53 Lakini watu katika mji huo hawakumkaribisha Yesu kwa sababu alikuwa anakwenda Yerusalemu. 54 Wafuasi wake; Yakobo na Yohana walipoona hayo, wakasema, “Bwana, unataka tuagize moto ushuke kutoka mbinguni na kuwateketeza watu hawa?”[a]
55 Lakini Yesu aligeuka na akawakemea baada ya wao kusema hivi.[b] 56 Kisha Yesu na wanafunzi wake wakaondoka wakaenda katika mji mwingine.
Kumfuata Yesu
(Mt 8:19-22)
57 Walipokuwa wakisafiri pamoja njiani, mtu mmoja akamwambia Yesu, “Nitakufuata kokote utakakokwenda.”
58 Yesu akamwambia, “Mbweha wana mapango na ndege wa angani wana viota. Lakini Mwana wa Adamu hana mahali pa kulaza kichwa chake.”
59 Yesu akamwambia mtu mwingine, “Nifuate!”
Lakini mtu yule akamwambia, “Bwana, niache nikamzike baba yangu kwanza.”
60 Lakini Yesu akamwambia, “Waache waliokufa wawazike wafu wao. Ni lazima uende kuhubiri kuhusu Ufalme wa Mungu.”
61 Mtu mwingine pia akamwambia, “Nitakufuata Bwana, lakini niruhusu kwanza nikaiage familia yangu.”
62 Yesu akamwambia, “Mtu yeyote anayeanza kulima, kisha akaangalia nyuma hajajiandaa kwa ajili ya Ufalme wa Mungu.”
Luke 9
New International Version
Jesus Sends Out the Twelve(A)(B)
9 When Jesus had called the Twelve together, he gave them power and authority to drive out all demons(C) and to cure diseases,(D) 2 and he sent them out to proclaim the kingdom of God(E) and to heal the sick. 3 He told them: “Take nothing for the journey—no staff, no bag, no bread, no money, no extra shirt.(F) 4 Whatever house you enter, stay there until you leave that town. 5 If people do not welcome you, leave their town and shake the dust off your feet as a testimony against them.”(G) 6 So they set out and went from village to village, proclaiming the good news and healing people everywhere.
7 Now Herod(H) the tetrarch heard about all that was going on. And he was perplexed because some were saying that John(I) had been raised from the dead,(J) 8 others that Elijah had appeared,(K) and still others that one of the prophets of long ago had come back to life.(L) 9 But Herod said, “I beheaded John. Who, then, is this I hear such things about?” And he tried to see him.(M)
Jesus Feeds the Five Thousand(N)(O)
10 When the apostles(P) returned, they reported to Jesus what they had done. Then he took them with him and they withdrew by themselves to a town called Bethsaida,(Q) 11 but the crowds learned about it and followed him. He welcomed them and spoke to them about the kingdom of God,(R) and healed those who needed healing.
12 Late in the afternoon the Twelve came to him and said, “Send the crowd away so they can go to the surrounding villages and countryside and find food and lodging, because we are in a remote place here.”
13 He replied, “You give them something to eat.”
They answered, “We have only five loaves of bread and two fish—unless we go and buy food for all this crowd.” 14 (About five thousand men were there.)
But he said to his disciples, “Have them sit down in groups of about fifty each.” 15 The disciples did so, and everyone sat down. 16 Taking the five loaves and the two fish and looking up to heaven, he gave thanks and broke them.(S) Then he gave them to the disciples to distribute to the people. 17 They all ate and were satisfied, and the disciples picked up twelve basketfuls of broken pieces that were left over.
Peter Declares That Jesus Is the Messiah(T)(U)
18 Once when Jesus was praying(V) in private and his disciples were with him, he asked them, “Who do the crowds say I am?”
19 They replied, “Some say John the Baptist;(W) others say Elijah; and still others, that one of the prophets of long ago has come back to life.”(X)
20 “But what about you?” he asked. “Who do you say I am?”
Peter answered, “God’s Messiah.”(Y)
Jesus Predicts His Death
21 Jesus strictly warned them not to tell this to anyone.(Z) 22 And he said, “The Son of Man(AA) must suffer many things(AB) and be rejected by the elders, the chief priests and the teachers of the law,(AC) and he must be killed(AD) and on the third day(AE) be raised to life.”(AF)
23 Then he said to them all: “Whoever wants to be my disciple must deny themselves and take up their cross daily and follow me.(AG) 24 For whoever wants to save their life will lose it, but whoever loses their life for me will save it.(AH) 25 What good is it for someone to gain the whole world, and yet lose or forfeit their very self? 26 Whoever is ashamed of me and my words, the Son of Man will be ashamed of them(AI) when he comes in his glory and in the glory of the Father and of the holy angels.(AJ)
27 “Truly I tell you, some who are standing here will not taste death before they see the kingdom of God.”
The Transfiguration(AK)
28 About eight days after Jesus said this, he took Peter, John and James(AL) with him and went up onto a mountain to pray.(AM) 29 As he was praying, the appearance of his face changed, and his clothes became as bright as a flash of lightning. 30 Two men, Moses and Elijah, appeared in glorious splendor, talking with Jesus. 31 They spoke about his departure,[a](AN) which he was about to bring to fulfillment at Jerusalem. 32 Peter and his companions were very sleepy,(AO) but when they became fully awake, they saw his glory and the two men standing with him. 33 As the men were leaving Jesus, Peter said to him, “Master,(AP) it is good for us to be here. Let us put up three shelters—one for you, one for Moses and one for Elijah.” (He did not know what he was saying.)
34 While he was speaking, a cloud appeared and covered them, and they were afraid as they entered the cloud. 35 A voice came from the cloud, saying, “This is my Son, whom I have chosen;(AQ) listen to him.”(AR) 36 When the voice had spoken, they found that Jesus was alone. The disciples kept this to themselves and did not tell anyone at that time what they had seen.(AS)
Jesus Heals a Demon-Possessed Boy(AT)
37 The next day, when they came down from the mountain, a large crowd met him. 38 A man in the crowd called out, “Teacher, I beg you to look at my son, for he is my only child. 39 A spirit seizes him and he suddenly screams; it throws him into convulsions so that he foams at the mouth. It scarcely ever leaves him and is destroying him. 40 I begged your disciples to drive it out, but they could not.”
41 “You unbelieving and perverse generation,”(AU) Jesus replied, “how long shall I stay with you and put up with you? Bring your son here.”
42 Even while the boy was coming, the demon threw him to the ground in a convulsion. But Jesus rebuked the impure spirit, healed the boy and gave him back to his father. 43 And they were all amazed at the greatness of God.
Jesus Predicts His Death a Second Time
While everyone was marveling at all that Jesus did, he said to his disciples, 44 “Listen carefully to what I am about to tell you: The Son of Man is going to be delivered into the hands of men.”(AV) 45 But they did not understand what this meant. It was hidden from them, so that they did not grasp it,(AW) and they were afraid to ask him about it.
46 An argument started among the disciples as to which of them would be the greatest.(AX) 47 Jesus, knowing their thoughts,(AY) took a little child and had him stand beside him. 48 Then he said to them, “Whoever welcomes this little child in my name welcomes me; and whoever welcomes me welcomes the one who sent me.(AZ) For it is the one who is least among you all who is the greatest.”(BA)
49 “Master,”(BB) said John, “we saw someone driving out demons in your name and we tried to stop him, because he is not one of us.”
50 “Do not stop him,” Jesus said, “for whoever is not against you is for you.”(BC)
Samaritan Opposition
51 As the time approached for him to be taken up to heaven,(BD) Jesus resolutely set out for Jerusalem.(BE) 52 And he sent messengers on ahead, who went into a Samaritan(BF) village to get things ready for him; 53 but the people there did not welcome him, because he was heading for Jerusalem. 54 When the disciples James and John(BG) saw this, they asked, “Lord, do you want us to call fire down from heaven to destroy them[b]?”(BH) 55 But Jesus turned and rebuked them. 56 Then he and his disciples went to another village.
The Cost of Following Jesus(BI)
57 As they were walking along the road,(BJ) a man said to him, “I will follow you wherever you go.”
58 Jesus replied, “Foxes have dens and birds have nests, but the Son of Man(BK) has no place to lay his head.”
59 He said to another man, “Follow me.”(BL)
But he replied, “Lord, first let me go and bury my father.”
60 Jesus said to him, “Let the dead bury their own dead, but you go and proclaim the kingdom of God.”(BM)
61 Still another said, “I will follow you, Lord; but first let me go back and say goodbye to my family.”(BN)
62 Jesus replied, “No one who puts a hand to the plow and looks back is fit for service in the kingdom of God.”
Hiligaynon Bible (Ang Pulong Sang Dios) Copyright © 1996, 2006 by Biblica, Inc.® Used by permission. All rights reserved worldwide.
Copyright © 1989 by Biblica
© 2017 Bible League International
Holy Bible, New International Version®, NIV® Copyright ©1973, 1978, 1984, 2011 by Biblica, Inc.® Used by permission. All rights reserved worldwide.
NIV Reverse Interlinear Bible: English to Hebrew and English to Greek. Copyright © 2019 by Zondervan.
