Mimi Paulo, mfungwa kwa ajili ya Kristo Yesu, pamoja na ndugu yetu Timotheo. Tunakuandikia wewe Filemoni mfanyakazi mwenzetu mpendwa, na dada yetu Afia na askari mwenzetu Arkipo, pamoja na kanisa linalokutana nyumbani kwako Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu

Upendo Na Imani Ya Filemoni

Ninamshukuru Mungu wangu kila ninapokuombea kwa sababu ninasikia habari za upendo wako na imani uliyonayo kwa Bwana wetu Yesu na kwa watakatifu wote. Ninakuombea kwamba unaposhirikiana na wengine juu ya imani yako upate kuelewa kikamilifu kila jambo jema ambalo tunapata ndani ya Kristo. Ndugu yangu, upendo wako umenipa furaha kubwa na faraja, kwa maana wewe umechangamsha mioyo ya watakatifu.

Ombi Kuhusu Onesmo

Kwa sababu hii, ingawa nina ujasiri ndani ya Kristo kuku amuru ufanye linalotakiwa, lakini kwa ajili ya upendo, ninaona ni bora zaidi nikuletee ombi. Mimi Paulo, balozi ambaye sasa ni mfungwa kwa ajili ya Yesu Kristo, 10 ninalo ombi kwako kuhusu mwanangu Onesmo; ambaye nimekuwa baba yake wa kiroho nikiwa gere zani. 11 Hapo awali huyu Onesmo alikuwa hakufai, lakini sasa amekuwa wa manufaa kwako na kwangu pia.

12 Ninamrudisha kwako, yeye ambaye ni kama moyo wangu mwe nyewe. 13 Ningelipenda akae nami hapa anisaidie badala yako wakati huu ambapo niko gerezani kwa ajili ya Injili. 14 Lakini sikupenda kufanya lo lote pasipo wewe kuniruhusu maana sipendi unisaidie kwa kulazimishwa, bali kwa hiari yako mwenyewe.

15 Pengine Onesmo aliondoka kwako kwa muda mfupi kusudi uta kapompata tena uweze kuwa naye daima; 16 na asiwe tena kama mtumwa tu, bali kama ndugu mpendwa. Yeye ni wa thamani sana kwangu lakini hasa zaidi kwako, maana pamoja na kuwa mtumwa wako, sasa ni ndugu yako katika Bwana.

17 Kwa hiyo ikiwa unanihesabu kama mshiriki mwenzako, basi mpokee kama vile ambavyo ungenipokea mimi. 18 Kama amekukosea jambo lo lote au ana deni lako, basi unidai mimi. 19 Mimi Paulo ninaandika jambo hili kwa mkono wangu mwenyewe, nitalipa. Wala sidhani nina haja ya kukukumbusha kwamba wewe mwenyewe ni mdeni wangu kwa ajili ya nafsi yako. 20 Kwa hiyo ndugu yangu, ninaamini utafanya jambo hili kwa ajili ya Bwana. Burudisha moyo wangu katika Kristo.

21 Naandika nikiwa na hakika ya kuwa utatii ninalokuambia na kwamba utafanya hata zaidi ya haya. 22 Tena nakuomba unitayar ishie chumba cha kukaa, kwa maana natarajia kurudi kwenu kama jibu la Mungu kwa maombi yenu.

23 Salamu zenu kutoka kwa Epafra, mfungwa mwenzangu kwa ajili ya Kristo Yesu; 24 na kutoka kwa Marko, Aristarko, Dema na

Greeting

Paul, a (A)prisoner of Christ Jesus, and Timothy our brother,

To Philemon our beloved friend and fellow laborer, to [a]the beloved Apphia, (B)Archippus our fellow soldier, and to the church in your house:

Grace to you and peace from God our Father and the Lord Jesus Christ.

Philemon’s Love and Faith

(C)I thank my God, making mention of you always in my prayers, (D)hearing of your love and faith which you have toward the Lord Jesus and toward all the saints, that the sharing of your faith may become effective (E)by the acknowledgment of (F)every good thing which is in [b]you in Christ Jesus. For we [c]have great [d]joy and [e]consolation in your love, because the [f]hearts of the saints have been refreshed by you, brother.

The Plea for Onesimus

Therefore, though I might be very bold in Christ to command you what is fitting, yet for love’s sake I rather appeal to you—being such a one as Paul, the aged, and now also a prisoner of Jesus Christ— 10 I appeal to you for my son (G)Onesimus, whom I have begotten while in my chains, 11 who once was unprofitable to you, but now is profitable to you and to me.

12 I am sending him [g]back. You therefore receive him, that is, my own [h]heart, 13 whom I wished to keep with me, that on your behalf he might minister to me in my chains for the gospel. 14 But without your consent I wanted to do nothing, (H)that your good deed might not be by compulsion, as it were, but voluntary.

15 For perhaps he departed for a while for this purpose, that you might receive him forever, 16 no longer as a slave but more than a slave—a beloved brother, especially to me but how much more to you, both in the (I)flesh and in the Lord.

Philemon’s Obedience Encouraged

17 If then you count me as a partner, receive him as you would me. 18 But if he has wronged you or owes anything, put that on my account. 19 I, Paul, am writing with my own (J)hand. I will repay—not to mention to you that you owe me even your own self besides. 20 Yes, brother, let me have joy from you in the Lord; refresh my heart in the Lord.

21 (K)Having confidence in your obedience, I write to you, knowing that you will do even more than I say. 22 But, meanwhile, also prepare a guest room for me, for (L)I trust that (M)through your prayers I shall be granted to you.

Farewell

23 (N)Epaphras, my fellow prisoner in Christ Jesus, greets you, 24 as do (O)Mark, (P)Aristarchus, (Q)Demas, (R)Luke, my fellow laborers.

25 (S)The grace of our Lord Jesus Christ be with your spirit. Amen.

Footnotes

  1. Philemon 1:2 NU our sister Apphia
  2. Philemon 1:6 NU, M us
  3. Philemon 1:7 NU had
  4. Philemon 1:7 M thanksgiving
  5. Philemon 1:7 comfort
  6. Philemon 1:7 Lit. inward parts, heart, liver, and lungs
  7. Philemon 1:12 NU back to you in person, that is, my own heart,
  8. Philemon 1:12 See v. 7.