Font Size
1 Yohana 2:1
Neno: Bibilia Takatifu
1 Yohana 2:1
Neno: Bibilia Takatifu
Upendo Na Utii
2 Watoto wangu, ninawaandikieni mambo haya, kusudi msitende dhambi. Lakini kama mtu ye yote akitenda dhambi, tunaye mtetezi wetu kwa Baba, yaani Yesu Kristo mwenye haki.
Read full chapter
1 Yohana 2:1
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Yohana 2:1
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu ni Msaidizi Wetu
2 Wapendwa wanangu, ninawaandikieni waraka huu ili kwamba msitende dhambi. Ila kama yeyote akitenda dhambi, tunaye Yesu Kristo wa kutusaidia. Yeye daima alitenda haki, kwa hiyo anaweza kututetea mbele za Mungu Baba.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International