Font Size
1 Wathesalonike 5:17-19
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Wathesalonike 5:17-19
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
17 Msiache kuomba. 18 Shukuruni kwa kila jambo. Hivi ndivyo Mungu anavyotutaka tuishi katika Kristo Yesu.
19 Msiizimishe kazi ya Roho Mtakatifu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International