Add parallel Print Page Options

Mjane Aonesha Jinsi Ulivyo Utoaji wa Kweli

(Mk 12:41-44)

21 Yesu alitazama na kuwaona matajiri wakimtolea Mungu sadaka zao katika sanduku la sadaka ndani ya Hekalu. Kisha akamwona mjane maskini akiweka sarafu mbili za shaba kwenye sanduku. Akasema, “Mjane huyu maskini ametoa sarafu mbili tu. Lakini ukweli ni kuwa, ametoa zaidi ya hao matajiri wote. Wale wanavyo vingi, na wametoa vile ambavyo hawavihitaji. Lakini mwanamke huyu ni maskini sana, lakini ametoa vyote alivyokuwa akitegemea ili aishi.”

Read full chapter

The Widow’s Offering(A)

21 As Jesus looked up, he saw the rich putting their gifts into the temple treasury.(B) He also saw a poor widow put in two very small copper coins. “Truly I tell you,” he said, “this poor widow has put in more than all the others. All these people gave their gifts out of their wealth; but she out of her poverty put in all she had to live on.”(C)

Read full chapter