Font Size
Yohana 15:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 15:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
7 Hivyo ninyi mbaki mmeunganishwa nami, na mfuate mafundisho yangu. Mkifanya hivyo, mnaweza kuomba kitu chochote mnachohitaji, nanyi mtapewa. 8 Ninyi mdhihirishe kuwa mmekuwa wafuasi wangu kwa kutoa matunda mengi. Kwani hiyo itamletea Baba utukufu.[a]
9 Mimi nimewapenda kama vile Baba alivyonipenda. Sasa mdumu katika upendo wangu.
Read full chapterFootnotes
- 15:8 utukufu Au “heshima”. Tazama Utukufu katika Orodha ya Maneno.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International