Font Size
Yohana 15:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 15:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Ninyi mkikaa ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni lo lote mtakalo nanyi mtatendewa. 8 Mnapozaa matunda kwa wingi Baba yangu anatukuzwa, na hivyo mnadhihirisha kuwa ninyi ni wanafunzi wangu.
9 “Kama Baba alivyonipenda mimi, hivyo ndivyo mimi nilivy owapenda ninyi; dumuni katika pendo langu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica