Font Size
Yohana 15:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 15:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
5 Mimi ni mzabibu; ninyi ni matawi; anayekaa ndani yangu nami ndani yake, huyo huzaa matunda mengi sana; maana pasipo mimi ninyi hamwezi kufanya lo lote. 6 Mtu asipokaa ndani yangu hutupwa nje kama tawi na kunyauka. Matawi hayo hukusanywa na kutupwa motoni, yakateketea. 7 Ninyi mkikaa ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni lo lote mtakalo nanyi mtatendewa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica