Font Size
Warumi 10:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
Warumi 10:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
13 Kwa maana, “Kila mtu atakayeliita Jina la Bwana, ataokoka.”
14 Lakini watu watamwitaje yeye ambaye hawajamwamini? Na watamwaminije yeye ambaye hawajawahi kumsikia? Na watamsikiaje kama mtu hakuwahubiria? 15 Na watu watahubirije kama hawaku tumwa? Kama ilivyoandikwa, Ni mizuri mno miguu ya hao wanaohubiri Habari Njema!”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica