Font Size
Warumi 10:11-13
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Warumi 10:11-13
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
11 Ndiyo, Maandiko yanasema, “Yeyote anayemwamini hataaibika.”(A) 12 Yanasema hivi kwa sababu hakuna tofauti kati ya Wayahudi na wasio Wayahudi. Bwana yule yule ndiye Bwana wa watu wote. Naye humbariki sana kila amwombaye akitaka msaada. 13 Ndiyo, “kila mtu anayemwita Bwana[a] ili kupata msaada, ataokolewa.”[b]
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International