Font Size
Warumi 10:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
Warumi 10:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
11 Kama yasemavyo Maandiko, “Hakuna amwami niye ambaye ataaibika.” 12 Kwa maana hakuna tofauti kati ya wote naye huwabariki wote wamwitao. 13 Kwa maana, “Kila mtu atakayeliita Jina la Bwana, ataokoka.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica