Font Size
Ufunua wa Yohana 1:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
Ufunua wa Yohana 1:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
8 “Mimi ni Alfa na Omega,” asema Bwana Mungu, “Aliyeko na aliyekuwako na ata kayekuja, Mwenyezi.”
Yohana Alivyopata Ufunuo
9 Mimi ni Yohana, ndugu yenu na mwenzenu katika mateso, na katika ufalme na subira kwa ajili ya Yesu Kristo. Niliwekwa katika kisiwa cha Patmo kwa ajili ya kutangaza neno la Mungu na kumshuhudia Yesu. 10 Basi, siku ya Bwana nilikuwa katika Roho, nikasikia sauti kubwa kama ya tarumbeta nyuma yangu
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica