Font Size
Matayo 3:16-17
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 3:16-17
Neno: Bibilia Takatifu
16 Na Yesu alipokwisha kubatizwa alitoka kwenye maji, ghafla mbingu zilifunguka, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua aka kaa juu yake. 17 Na sauti kutoka mbinguni ikasema, “Huyu ndiye
Read full chapter
Mathayo 3:16-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 3:16-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
16 Hivyo Yesu akabatizwa. Mara tu aliposimama kutoka ndani ya maji, mbingu zilifunguka na akamwona Roho Mtakatifu akishuka kutoka mbinguni kama hua[a] na kutua juu yake. 17 Sauti kutoka mbinguni ikasema, “Huyu ni Mwanangu, nimpendaye. Ninapendezwa naye.”
Read full chapterFootnotes
- 3:16 hua Ndege mfano wa njiwa, aendaye kwa kasi au “njiwa pori”, “tetere”.
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International