Font Size
Yohana 14:26
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 14:26
Neno: Bibilia Takatifu
26 Lakini yule Msaidizi, yaani Roho Mtakatifu, ambaye Baba yangu atamtuma kwenu kwa jina langu, atawafundisha mambo yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia.
Read full chapter
Yohana 14:26
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 14:26
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
26 Lakini yule Msaidizi atawafundisha kila kitu na kuwafanya mkumbuke kila nilichowaambia. Huyu Msaidizi ni Roho Mtakatifu[a] ambaye Baba atamtuma kwa jina langu.
Read full chapterFootnotes
- 14:26 Roho Mtakatifu Pia anaitwa Roho wa Mungu, Roho wa Kristo, na Mfariji. Katika muungano na Mungu na Kristo, hufanya kazi za Mungu miongoni mwa watu ulimwenguni.
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International