Font Size
Matendo Ya Mitume 13:2
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 13:2
Neno: Bibilia Takatifu
2 Wal ipokuwa wakimwabudu Bwana na kufunga, Roho Mtakatifu aliwaambia, “Nitengeeni Sauli na Barnaba kwa kazi maalumu niliyowaitia.”
Read full chapter
Matendo 13:2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Matendo 13:2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Watu hawa wote kwa pamoja walikuwa wanamwabudu Bwana na wamefunga Roho Mtakatifu alipowaambia, “Nitengeeni Barnaba na Sauli ili wanifanyie kazi maalumu. Wao ndio niliowachagua kuifanya kazi hiyo.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International